Information technology and communication system inahusisha maths

Information technology and communication system inahusisha maths

Joined
Sep 23, 2017
Posts
6
Reaction score
1
Habar zenu wakuu naomba kuuliza kwamba siwez maths na nahitaji kusoma (ITCS) je inawezekana?
Na inatumika wa
 
Utakutana na math lazima we kama kilaza sepa kuna computers math zipo proba set and logic na huko hawasolve by analytical but numerical method ujue mambo ya quantifier
 
Math ipo lkn nenda usiogope utapiga chabo..heheheeheeh
 
Ndio,
Lakini pia inategemea na Chuo mfano DIT Topic(Modules) za hesabu ni sawa kwa kozi zote
 
Back
Top Bottom