Inferiority complex: Ni kizalia au ni makuzi?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,623
752,057
Inferiority complex ni hali ya kujikataa, hali ya kujiona si bora kuliko wengine.. Inferiority complex ni kinyume cha superiority complex.

Watu wenye tatizo hili hupenda;

- Kutafuta kuungwa mkono hata kwa jambo la kijinga na kipumbavu kabisa
- Hupenda kujistukia hata kwa vitu vidogo kabisa
- Hupenda kujikataa kujitenga na kususa hata kwa vitu ambavyo havina uzito wowote
- Ni wepesi kulaumu wengine hata mahali pasipostahili lawama
- Ni waoga mno wa kukosea

Inferiority complex ni kizalia pia ni makuzi , kuna watu wamezaliwa bila hili tatizo lakini makuzi na malezi toka kwa wazazi na walezi wakawasababishia hili tatizo kikubwa kikiwa ni mateso na kunyanyaswa kulikopitiliza.

Lakini kuna ambao wamezaliwa nalo lakini kwa kupata wataaalam wanaweza kumsaidia mtu kupunguza hili tatizo.

Kimsingi hakuna haja ya kujilinganisha na wengine, Jifunze kuwa wewe... Tuache mitazamo ya kuamini kwamba tofauti zetu za kimaisha na kimitazamo zinatufanya bora au dhoofu mbele ya wengine.

Hakuna anayeweza kukufanya inferior bila wewe mwenyewe kutaka... Inferiority complex can be cured.
 
muda mwingine naamini ni namna ya ukuaji na malezi mtoto anayopitia,
kwa mfano unakuta mama anamtukana mtoto, kila anachokifanya anaambulia matusi na viboko, je huyo mtoto anaweza kukua na kuwa mtu wa kujiamini katika matendo yake?
 
muda mwingine naamini ni namna ya ukuaji na malezi mtoto anayopitia,
kwa mfano unakuta mama anamtukana mtoto, kila anachokifanya anaambulia matusi na viboko, je huyo mtoto anaweza kukua na kuwa mtu wa kujiamini katika matendo yake?
Ni kweli kabisa malezi na makuzi vinachangia mno hali hii au hata kama sio matusi lakini ile hali ya kila anachogusa mtoto unamwambia ACHA nayo inamharibu mno mtoto
 
1453022965443.jpg
 
Sawa kabisa mshana hata mimi kipindi flan ujana bado upo ilikuwa mtu akinisema basi jambo hilo nitalikuza kichwani na kuwa kubwa kama mlima kilimanjaro baada ya kujitambua taratibu likaisha ikawa kama ni jambo la kipuuzi mtukanisema linapitia sikio hili na kutokezea la kule.
 
Sawa kabisa mshana hata mimi kipindi flan ujana bado upo ilikuwa mtu akinisema basi jambo hilo nitalikuza kichwani na kuwa kubwa kama mlima kilimanjaro baada ya kujitambua taratibu likaisha ikawa kama ni jambo la kipuuzi mtukanisema linapitia sikio hili na kutokezea la kule.
Kuna baadhi hushindwa kabisa kuachana na hii hali, kwa mfano hata hapa jukwaani kuna baadhi ya watu unaona kabisa anapaniki kwa vitu vidogo mno
Imagine post ya mtu unaweza kumkerehesha mtu mpaka unashangaa... Unajua kabisa huyu Kama si inferiority complex basi ana vurugu za kimaono
 
Kuna baadhi hushindwa kabisa kuachana na hii hali, kwa mfano hata hapa jukwaani kuna baadhi ya watu unaona kabisa anapaniki kwa vitu vidogo mno
Imagine post ya mtu unaweza kumkerehesha mtu mpaka unashangaa... Unajua kabisa huyu Kama si inferiority complex basi ana vurugu za kimaono[/QUOKweli mshana unaweza kujikosoa mwenyewe na kubadilika wapo ndugu zangu wawili hali hiyo mpaka leo wanayo na ni watu wa matukio ila kila siku huona wameonewa.
Uzuri tumeisha watambua so hawatupi shida sana ila cha ajabu pamoja na vimbwanga vyao bimkubwa anawapenda kuliko hata sisi ambao hatumkwazi ingawa hujificha bimkubwa but tunajua ndo wake hao.
 
wasukuma wanatengeneza dawa kwa kutumia mafuta ya simba, mhusika anatoka kwenye inferiority kuwa superiority complex, akiongea hadhira yote inafyata.
Inferiority complex ni hali ya kujikataa, hali ya kujiona si bora kuliko wengine.. Inferiority complex ni kinyume cha superiority complex
Watu wenye tatizo hili hupenda
-kutafuta kuungwa mkono hata kwa jambo la kijinga na kipumbavu kabisa
-hupenda kujistukia hata kwa vitu vidogo kabisa
-hupenda kujikataa kujitenga na kususa hata kwa vitu ambavyo havina uzito wowote
-ni wepesi kulaumu wengine hata mahali pasipostahili lawama
- ni waoga mno wa kukosea
Inferiority complex ni kizalia pia ni makuzi , kuna watu wamezaliwa bila hili tatizo lakini makuzi na malezi toka kwa wasukuma wanatengeneza dawa kwa kutumia mafuta ya simba, mhusika anatoka kwenye inferiority kuwa superiority complex, akiongea wote hadhira inafyata. wazazi na walezi wakawasababishia hili tatizo kikubwa kikiwa ni mateso na kunyanyaswa kulikopitiliza
Lakini kuna ambao wamezaliwa nalo lakini kwa kupata wataaalam wanaweza kumsaidia mtu kupunguza hili tatizo
Kimsingi hakuna haja ya kujilinganisha na wengine, Jifunze kuwa wewe... Tuache mitazamo ya kuamini kwamba tofauti zetu za kimaisha na kimitazamo zinatufanya bora au dhoofu mbele ya wengine
Hakuna anayeweza kukufanya inferior bila wewe mwenyewe kutaka... Inferiority complex can be cured
 
Kila mtu ana inferiority complex, kinachotutofautisha ni mazingira tu. Kuna wakati uko kwenye jamii ngeni kwako unajikuta una superiority complex ila ukiwa kwenye mazingira mengine superiority complex inabadilika na kuwa inferiority complex.
 
hahahaha wakati mwingine hupelekea mtu hata kuwa kama zezeta hivi. kuna bwana mmoja yeye ni very inferior kwa wanawake anaamini wanawake ni wakali kuliko wanaume inampa wakati mgumu sana kuinteract na wanawake hasa kwenye mambo serious anaamini akikosea lazima apigwe na wanawake hao. japokuwa kuwatongoza anawatongoza tu huwa nashindwa kumwelewa huyu jamaa ana tatizo gani.
 
Watu wenye tatizo hili hupenda;

  • Kutafuta kuungwa mkono hata kwa jambo la kijinga na kipumbavu kabisa
  • Hupenda kujistukia hata kwa vitu vidogo kabisa
  • Hupenda kujikataa kujitenga na kususa hata kwa vitu ambavyo havina uzito wowote
  • Ni wepesi kulaumu wengine hata mahali pasipostahili lawama
  • Ni
 
Kila mtu ana inferiority complex, kinachotutofautisha ni mazingira tu. Kuna wakati uko kwenye jamii ngeni kwako unajikuta una superiority complex ila ukiwa kwenye mazingira mengine superiority complex inabadilika na kuwa inferiority complex.
Nazungumzia ambao moja kwa moja wako hivyo
 
Mimi naamini ni mmoja wa watu wanosumbuliwa na hilo tatizo. Ila katika point ulizoeleza ya mwisho tu ndio inanihusu, hizo nyengine sina kabisa hayo mambo. Tatizo langu kubwa ni kukosa self confidence .

Failures katika young age zimeniathiri mno mpaka sasa nashindwa kubadilika kwa kweli.
 
Mimi naamini ni mmoja wa watu wanosumbuliwa na hilo tatizo. Ila katika point ulizoeleza ya mwisho tu ndio inanihusu, hizo nyengine sina kabisa hayo mambo. Tatizo langu kubwa ni kukosa self confidence .

Failures katika young age zimeniathiri mno mpaka sasa nashindwa kubadilika kwa kweli.
Soma hii itakusaidia

 
Back
Top Bottom