Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,239
Hii mionzi mnayotumulika nayo sio tutakuja kuwa mataahira uzeeni?
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 300 tu.
Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml bei elfu 25
Tunapatikana Makumbusho stendi Da es Saalaam
Mikoani kwa mzigo mkubwa pia unatumiwa.
Tucheki WhatsApp @ 0769509430
Text&Normal calls @ 0716704990View attachment 1417565View attachment 1417567View attachment 1417569
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEAInfared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 300 tu.
Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml bei elfu 25
Tunapatikana Makumbusho stendi Da es Saalaam
Mikoani kwa mzigo mkubwa pia unatumiwa.
Tucheki WhatsApp @ 0769509430
Text&Normal calls @ 0716704990View attachment 1417565View attachment 1417567View attachment 1417569
Sent using Jamii Forums mobile app
Tbs na tmda hebu wapitie hizi sanitizer za Prof kishimba tusijepakwa gongo la mkuyuni,Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA
Mie siuzi mkuu, mleta mada ndio muuzaji, mie nachangia hoja tuMkuuu hiyo Infrared thermometer ndio unauza Million 30? Hiyo ni bei ya piece moja tu?
Shilingi laki 300?punguza kidogo mkuu fanya hata laki mia mbili!!![emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA
Hujawahi kusikia vitu bandia na vitu haramu vimekamatwa madukani?
Hio inapokea,haitoi..haina madhara kama ni hivyo isingeruhusia
Kwenye spectrum Gamma rays ndio harmful the rest ni healthy
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilinunua mwaka 2015 ilikuwa dola 15 kila kitu wakati huo ndo zilikuwa zinaingia sokoni,,nina imani zimeshuka beiDuh wabongo noma, hizo za watoto unataka upate faida 240, 000 nzima, hizo ni 60, 000 tu hadi inafika hapa toka China