Industrial engineer natafuta kazi

Industrial engineer natafuta kazi

Joined
Aug 22, 2018
Posts
49
Reaction score
36
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nmehitimu mwaka Jana chuo kikuu cha Dar es salaam Katika kozi ya industrial engineering.

Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.

Kwa sasa Niko Arusha.

Kwenye viwanda naweza kufanya vifuatavyo:
1)kitengo cha production
2)industrial procurement
3)Transport and logistics
4)industrial auditing
5)workshop
 
Elezea experience yako baada ya kumaliza chuo then tukushauri kitu.
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nmehitimu mwaka Jana chuo kikuu cha Dar es salaam Katika kozi ya industrial engineering.

Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.

Kwa sasa Niko Arusha.

Kwenye viwanda naweza kufanya vifuatavyo:
1)kitengo cha production
2)industrial procurement
3)Transport and logistics
4)industrial auditing
5)workshop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nmehitimu mwaka Jana chuo kikuu cha Dar es salaam Katika kozi ya industrial engineering.

Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.

Kwa sasa Niko Arusha.

Kwenye viwanda naweza kufanya vifuatavyo:
1)kitengo cha production
2)industrial procurement
3)Transport and logistics
4)industrial auditing
5)workshop
Uliskia tanzania ya viwanda ukaenda kusomea hiyo kozi... umenikumbusha watu wa petrolium... anyways fanya haya

1. Mpaka sasa najua unajua autocad at least, anza kujifunza kudesign simple houses na hiyo autocad then anza kutangaza kwa watu una design majengo.

2. Kama ukiona hiyo huwezi jifunze basics za structural engineering japo naamini chuo mtakua mlisoma... then jifunze program kama protastructure na archicad uingie kwenye sekta ya ujenzi.

3. Nenda kwenye makampuni ya ujenzi (usikariri kufanya kazi viwandani) omba kazi hata ya kujitolea. Kama kwenye 1 na 2 hapo juu uko njema itasaidia.

4. Nenda pale ERB omba nafasi za SEAP (i recommend this). Ukipata chance komaa kiume sio ulete ubishoo... na kazi utapata huko huko.

5. Hakikisha umejisajili kama graduate engineer.

6. Kama kwenye 1 na 2 uko vizuri fikiria kuanza kufanya kazi za freelancing...

Nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliskia tanzania ya viwanda ukaenda kusomea hiyo kozi... umenikumbusha watu wa petrolium... anyways fanya haya

1. Mpaka sasa najua unajua autocad at least, anza kujifunza kudesign simple houses na hiyo autocad then anza kutangaza kwa watu una design majengo.

2. Kama ukiona hiyo huwezi jifunze basics za structural engineering japo naamini chuo mtakua mlisoma... then jifunze program kama protastructure na archicad uingie kwenye sekta ya ujenzi.

3. Nenda kwenye makampuni ya ujenzi (usikariri kufanya kazi viwandani) omba kazi hata ya kujitolea. Kama kwenye 1 na 2 hapo juu uko njema itasaidia.

4. Nenda pale ERB omba nafasi za SEAP (i recommend this). Ukipata chance komaa kiume sio ulete ubishoo... na kazi utapata huko huko.

5. Hakikisha umejisajili kama graduate engineer.

6. Kama kwenye 1 na 2 uko vizuri fikiria kuanza kufanya kazi za freelancing...

Nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
petroleum engineering ilianzishwa kisiasa sana nakumbuka Hivi soko lake likoje kwa sasa??
 
Uliskia tanzania ya viwanda ukaenda kusomea hiyo kozi... umenikumbusha watu wa petrolium... anyways fanya haya

1. Mpaka sasa najua unajua autocad at least, anza kujifunza kudesign simple houses na hiyo autocad then anza kutangaza kwa watu una design majengo.

2. Kama ukiona hiyo huwezi jifunze basics za structural engineering japo naamini chuo mtakua mlisoma... then jifunze program kama protastructure na archicad uingie kwenye sekta ya ujenzi.

3. Nenda kwenye makampuni ya ujenzi (usikariri kufanya kazi viwandani) omba kazi hata ya kujitolea. Kama kwenye 1 na 2 hapo juu uko njema itasaidia.

4. Nenda pale ERB omba nafasi za SEAP (i recommend this). Ukipata chance komaa kiume sio ulete ubishoo... na kazi utapata huko huko.

5. Hakikisha umejisajili kama graduate engineer.

6. Kama kwenye 1 na 2 uko vizuri fikiria kuanza kufanya kazi za freelancing...

Nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu kwa ushauri
 
Uliskia tanzania ya viwanda ukaenda kusomea hiyo kozi... umenikumbusha watu wa petrolium... anyways fanya haya

1. Mpaka sasa najua unajua autocad at least, anza kujifunza kudesign simple houses na hiyo autocad then anza kutangaza kwa watu una design majengo.

2. Kama ukiona hiyo huwezi jifunze basics za structural engineering japo naamini chuo mtakua mlisoma... then jifunze program kama protastructure na archicad uingie kwenye sekta ya ujenzi.

3. Nenda kwenye makampuni ya ujenzi (usikariri kufanya kazi viwandani) omba kazi hata ya kujitolea. Kama kwenye 1 na 2 hapo juu uko njema itasaidia.

4. Nenda pale ERB omba nafasi za SEAP (i recommend this). Ukipata chance komaa kiume sio ulete ubishoo... na kazi utapata huko huko.

5. Hakikisha umejisajili kama graduate engineer.

6. Kama kwenye 1 na 2 uko vizuri fikiria kuanza kufanya kazi za freelancing...

Nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
You must be kidding!!, yaan unamshauri mtu aingie kwenye industry ya ujenzi na kuanza kufanya vitu ambavyo hakuvisomea na hana utaalmu navyo. Au unadhan kuingia kwenye hio industry na kujifanya unaeza fanya kazi kama wenye fani zao waliozisomea ni kama kuuza mitumba au kufungua genge la mbogamboga mtaani ?

Yaan kwamba watu wa civil waliosoma structural mechanics, stractural design and analysis kwa miaka 4 walikua wanacheza kias kwamba huyu mheshimiwa azamie humo ili apambane na hao wenye ujuzi na hayo mambo.

Yaan kwamba mtu ambaye hajui strength za nondo na zege, hajui analysis ya structure inafanyika vip ndo aanze kufanya free lancing kisa anajua kutumia AutoCAD ??

Kwamba watu wa architecture waliosoma vyuoni kwa mikesha kibao hawana maana kias kwamba unamwambia huyu mweshimiwa amabaye hajui A wala B wala C kuhusu design za majengo apambane nao kwenye free lancing kisa anaweza kujifunza kutumia auto CAD na Archi CAD ??

Anyway, kama kwenye hio 1 na 2 ataona ni ushauri wa maana aende akajaribu naamin matokeo atayapata.

Ila jaman acheni kuvamia fani za watu kisa mnaona ni mambo marahis na mnaweza kuyanfanya maana mnaishia kubabaisha na mmnaharibu na kuwachafulia sifa wahusika wa hizo fani pale mnaposhindwa kufikia malengo ya wanaowapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For the time being relax corona ikatize. Baada ya hapo sasa tafuta intern Canada au USA, ukafie mbele
 
Ila hapo kwenye SEAP naomba unifafanulie plz
Kwanza unatakiwa usaijiliwe kama graduate engineer then ndio una apply hiyo program kama ukipata nafasi itakujenga sana maana unapata nafasi kwenye kampuni then unakua monitored na engineer ambaye kasajiliwa kam PE.

Kama uko dsm nenda ERB utapata maelezo zaidi au kama uko mbali ingia kwenye website ya ERB.
 
na hana utaalmu navyo. Au unadhan kuingia kwenye hio industry na kujifanya unaeza fanya kazi kama wenye fani zao waliozisomea ni kama kuuza mitumba au kufungua genge la mbogamboga mtaani ?

Ila jaman acheni kuvamia fani za watu kisa mnaona ni mambo marahis na mnaweza kuyanfanya maana mnaishia kubabaisha na mmnaharibu na kuwachafulia sifa wahusika wa hizo fani pale mnaposhindwa kufikia malengo ya wanaowapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hukua na haja ya kuandika gazeti lote hili, kama ungesoma kwa makini nilichoandika mpaka mwisho wala hukua na haja ya kupoteza kuandika hili gazeti.

Huo muda ulio tumia kuandika gazeti ungetoa ushauri wa jinsi ya kumsaidia kijana ungekua umefanya la maana.
You must be kidding!!
I am not. wewe ndiye unaye leta utani.
, yaan unamshauri mtu aingie kwenye industry ya ujenzi na kuanza kufanya vitu ambavyo hakuvisomea
Una uhakika gani hajasomea?

Yaan kwamba mtu ambaye hajui strength za nondo na zege, hajui analysis ya structure inafanyika vip ndo aanze kufanya free lancing kisa anajua kutumia AutoCAD ??

Yaan kwamba watu wa civil waliosoma structural mechanics, stractural design and analysis kwa miaka 4 walikua wanacheza kias kwamba huyu mheshimiwa azamie humo ili apambane na hao wenye ujuzi na hayo mambo.

Yaan kwamba mtu ambaye hajui strength za nondo na zege, hajui analysis ya structure inafanyika vip ndo aanze kufanya free lancing kisa anajua kutumia AutoCAD ??
Una uhakika gani hajui structural analysis?

Kwa upeo wako unadhani ku design beams and columns wanasoma watu wa civil tu?

Kuna watu wanasoma kozi nyingine tofauti na pure structural/highway lakini hizo beams/colums wamezisoma pia tena wenda vizuri kuliko wewe!! Sasa mtu kama atashindwaje kudesign majengo kama akiwa na mtu wa kum guide na akijiongeza kujifunza zaidi?

Narudia tena na unielewe.

Ku design au kufanya analysis ya structure haifundishwi kwa watu walio soma civil pekee na ujue kuna kozi zinasoma pia hayo masomo na wenda wanasoma kama wewe au zaidi yako pia!!

Hiki nilicho andika hapa si kwaajili ya mleta mada tu na ndio maana nikaweka options nyingi achague inayo mfaa nikiamini kuna wengine watakuja kusoma nao watachukua kinacho wafaa!!
 
Back
Top Bottom