Trentalexanderanold
Member
- Aug 22, 2018
- 49
- 36
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nmehitimu mwaka Jana chuo kikuu cha Dar es salaam Katika kozi ya industrial engineering.
Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.
Kwa sasa Niko Arusha.
Kwenye viwanda naweza kufanya vifuatavyo:
1)kitengo cha production
2)industrial procurement
3)Transport and logistics
4)industrial auditing
5)workshop
Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.
Kwa sasa Niko Arusha.
Kwenye viwanda naweza kufanya vifuatavyo:
1)kitengo cha production
2)industrial procurement
3)Transport and logistics
4)industrial auditing
5)workshop