figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,683
- 59,181
Magazeti ya leo yamereport kwamba india wanawabagua waafrica. Waandishi hawajaelezea uhusuano kati ya wahindi wanao ishi tanzania na waafrica wa tanzania.
Wahindi wenyewe kwa wenyewe wanabaguana sembuse Mhindi na Mwafrika?
Magazeti ya leo yamereport kwamba india wanawabagua waafrica. Waandishi hawajaelezea uhusuano kati ya wahindi wanao ishi tanzania na waafrica wa tanzania.
Chanzo mkuu!!Magazeti ya leo yamereport kwamba india wanawabagua waafrica. Waandishi hawajaelezea uhusuano kati ya wahindi wanao ishi tanzania na waafrica wa tanzania.
chanzo nmekuwekea sema hukua makini kusoma. Angalia hapa. miaChanzo mkuu!!But all in all nenda pale coco beach uone ubaguzi wao hawa shwaini!
Hakuna sehemu isiyo na ubaguzi!
Btw, India hata wao kwa wao wanabaguana!
India kuna matabaka tena makubwa ya wao kwa wao, na tabaka linalodharauliwa zaidi na ambali ni maskini zaidi ni kutoka South India. South India ndipo wanapopatikana wahindi weusi, ndio maskini sana kule sub continent ya India. Miji ya Mumbai, Delhi Amritsar, Hyderabadi kuna ubaguzi sana ambapo huwezi kwenda kutembea kwenye maeneo ya wakubwa na utajishtukia kama si kutemwa mate.
Kwenye miji kama Gujarat na sehemu zingine kama Qadian, kule walau kuna usawa zaidi maana kuna muingiliano wa dini kidogo na imesaidia maana utakuta waislam na wakristo wanapatikana.
Ukiwakuta wahindi wenyewe ambao ni Hindu wanaoabudu kwenye srinigar, au wale wenye imani ya masingasinga...huko ni 100% ubaguzi.
Kutokana na over population ya India, toka mwanzoni mwa miaka ya 1900 wahindi wengi walihama kwao na kukimbilia nchi za Afrika ambapo walizaliana, wakapata watoto, wakapata wajukuu na wamesalia kuwa ni raia halisi tena kwa kuzaliwa. Kitu ambacho sisi waafrika hatukuweza kulikimbia bara hili na kwenda kutafuta makazi/maisha kwao India. Ndio maana mpaka leo hii, tunao viongozi ambao wana asili ya India kama vile Prof Issa Shivji etc.
Wenyewe wanawaita Watanzania wenye asili ya ASIA!!!!!!!!!