Ndiyo maana tunahangaika na akina EPA, Twiga hai, Escrow, etc.. eh!
Kumbe wizi walianza mapema, wanacho fanya ni continuation tu> Wengine kwa vile walishazoea kupiga chabo wanajiita makengeza kwa sababu macho yalisha zoea kukodolea.... haaaaaaaah, hizi semi!? Wengi hawazielewi kumbe!!