Incubator toka U.K zinauzwa

Incubator toka U.K zinauzwa

1800

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
2,215
Reaction score
611
Wadau nauza incubator toka U.K, zipo za aina mbili,aina ya kwanza ina uwezo wa kutotolesha mayai 176 kwa wakati mmoja ambayo bei yake ni 550,000/= na nyingine ina uwezo wa kutotolesha mayai 24 kwa wakati mmoja bei yake ni 300,000/. Incubator zote ni automatic,brand new in box with a receipt na zote ni kutoka Uk!kwa mwenye kuhitaji ani PM
 
nimeridhika na bei hasa kwa hiyo ya mayai 171,but by September ndo naweza nunua.vp unazo za kutosha,naogopa zisije isha!
 
nimeridhika na bei hasa kwa hiyo ya mayai 171,but by September ndo naweza nunua.vp unazo za kutosha,naogopa zisije isha!
Kweli mkuu ngoja tukusanye nguvu hata mimi October ningeweza sijui anazo nyingi au anaweka oda.
 
nimeridhika na bei hasa kwa hiyo ya mayai 171,but by September ndo naweza nunua.vp unazo za kutosha,naogopa zisije isha!

Zilikua tano wakuu,ila zimebaki mbili kwa sasas!zilikuja chache kutokana na kutokua na uhakika wa soko,ila hamasa imetoa moyo,kwa hiyo kwa mbeleni zitakua zinakuja kwa order kwa atakaehitaji
 
Mkuu Dsm upo sehemu gan?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
1800 naomba kuuliza...incubator kama hiyo ya mayai 171 inaweza kuandaa vifaranga vingapi kwa wiki
 
Last edited by a moderator:
Ni PM upo maeneo gani hapa Dsm?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Inakuwaje kama umeme unakatika hii mashine yako inaweza kukaa muda gani bila kuharibu mayai?
 
Mungu akubariki I see tutakutafuta, ila sasa specifications zake vipi, umeme gani nahitaji isijekuwa white elephant I mean sio phase 3 au? nitahitaji hiyo ya 170 au kama 200-300 zitakuwepo bei nzuri kidogo.
Zilikua tano wakuu,ila zimebaki mbili kwa sasas!zilikuja chache kutokana na kutokua na uhakika wa soko,ila hamasa imetoa moyo,kwa hiyo kwa mbeleni zitakua zinakuja kwa order kwa atakaehitaji
 
Kwakweli ili kuondoa risk ya kuharibu mayai yako ni bora uwe na ka generator standby huu umeme wa Tanzania usiotabirika huu ona sasa tunaambiwa hautakuwepo wiki Zima si utaua biashara hapo? generator muhimu hata vile vidogo kama hazihitaji umeme mkubwa.
Inakuwaje kama umeme unakatika hii mashine yako inaweza kukaa muda gani bila kuharibu mayai?
 
Mama Joe, hii ni single phase,iko very economy,labda unijulishe lini hasa utakua tayari,kuhusu hiyo ya 200 - 300 ngoja nifuatilie alafu nitakupa jibu itagharimu kiasi gani.
Mungu akubariki I see tutakutafuta, ila sasa specifications zake vipi, umeme gani nahitaji isijekuwa white elephant I mean sio phase 3 au? nitahitaji hiyo ya 170 au kama 200-300 zitakuwepo bei nzuri kidogo.
 
Mama Joe, hii ni single phase,iko very economy,labda unijulishe lini hasa utakua tayari,kuhusu hiyo ya 200 - 300 ngoja nifuatilie alafu nitakupa jibu itagharimu kiasi gani.
Asante nikijua bei nitakupa jibu kwa pm lini ili nijipange na ka generator walau, ila sio zaidi ya November mwaka huu.
 
jamani mi mgeni wa incubators naomba kuelimishwa, hivi zinatumia siku ngapi kuangua mayai?? ni siku zile zile za kuku au inapunguza?
 
jamani mi mgeni wa incubators naomba kuelimishwa, hivi zinatumia siku ngapi kuangua mayai?? ni siku zile zile za kuku au inapunguza?

Ninavyojua ni siku 21 (siku 18 ikiwa RH 45, siku 3 ikiwa RH 60. Temp ni 37 Celsius)
 
Back
Top Bottom