Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
DuhKwahio mkuu wengine waliojiajiri hawakupita shule kama wewe?
Kwanini bossRahisi sana sisi watz kutawaliwa...
We ni tatizo kabisa ktk nchi hii.Kichwa Cha habari kinajieleza vizuri
Hizi story za kujiajiri ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa serikali ambao wao Ni waajiriwa zinaumiza Sana.
Haiwezekani nipo shuleni kuanzia Nina umri wa miaka 6 Mpaka leo Nina miaka 25/26 then uje uniambie nijiajiri
Najiajiri Nini Sasa?
Inaudhi sana.
Wewe ulivyotoka tumboni mwa mama ulikua unajua kusoma au kuandika?Kwanini boss
So ndo hapo.Cha kushangaza wao wanapishana na mav8 kuroga ili wabakie hapo na hawataki kuja kujiajiri ili kupisha hizo nafasi wakae wengine
Mungu anawaona
Utasikia sijui kamatia fursa yani tunawazoom tu,
Yes walitakiwa watoe hata mtaji na sio maneno tu,,So ndo hapo.
Inashangaza Kuna watu wanawasapoti humu
Hakuna mtu anaweza kujiajiri bila sapoti
Watoe basi hata mitaji
We ni tatizo kabisa ktk nchi hii.
Kila mwaka vyuo vinatoa wahitimu,unadhani ajira za kuwatosha wote zinatoka wapi ktk nchi hizi za kiafrika masikini?
Unapaswa kujiongeza kwa akili ya kuzaliwa kwamba juhudi zako hazitegemei mawazo ya wengine wawaze cha kufanya ili wakuajiri wewe ,unapoambiwa tegemea akili yako,juhudi na maarifa ndiyo tafisiri ya neno "KUJIAJIRI "
Kaa hapo unasubiri serikali utakuta masikini
Anadai serikali iwape mitaji..anapewa yule anayeonesha nia kweli...lol...Hawa ndo unakuta wanatembea na bahasha halafu nauli wanapewa na wadogo zao wanao uza maji au kutengeneza makochi..
Wao akili zao zote ni kuajiriwa na kulaumu serikali...
Yes walitakiwa watoe hata mtaji na sio maneno tu,,
Id yako thouπ€«πͺNatoa wito kwa vijana mjitambue andamaneni Kudai haki yenu ya kupewa ajira na serikali ya Tanzania hii ya kihuni kihuni
Mwenye nacho anaongezea na asiyekuwa nacho ananyan'ganywa hata kidogo alichonacho hii roho ipae iende mpaka kwa vijana wanaomaliza JKT na kurudishwa mitaani kuja kusota kataeni huo ujinga kuna watu wanafaidi sana hii nchi mishahara na maposhoposho Kibao nyie mnatoka JKT mje kujiajiri hamna hata mitaji wawape mitaji hata mil 3 tatu ndiyo mje mtaani vinginevyo kataeni andamaneni fanyeni Fujo zisizo na mwisho nyie mnamafunzo polisi hawatawaweza piga polisi akileta kiherehere, mwisho wa siku hii nchi watu wote tutanufaika.
Pia nawaamsha na watumishi wa chini wenye mishahara midogo unafanya kazi nying mwisho wa mwezi mshahara wako haufiki hata million wakati kuna mtu kwa mwezi anapokea zaidi ya M 2 na maposhoposho Kibao kataeni huo utumwa kufanyishwa kazi na kulipwa kidogo nasema kataeni.
Pia polisi mjitambue na nyie acheni ujinga mnalala kwenye malindo kazi nying mishahara yenu ni midogo mno mkilinganisha na kazi mnazofanya ifike kipindi mjitambue wakubwa wenu wanafaidi sana nchi nyie wa chini mnatumika kuwanufaisha wa juu polisi na magwanda yako hayo unaishi maisha magum mshahara wako kiduchu ukilimganisha na hali halisi ya maisha, polisi huna hata gari la kumtembelea hujajenga mwaka wa tatu sasa uko kazin na zaid wewe unatumika tu
Leo hii ukifa ndani ya muda mfupi watoto wako wote walio na bima zitachukuliwa watabaki kupanga folen kupata matibu kataa huo utumwa
Nawahurumia sana polisi unakuta mtu anamaisha magum kuliko hata machinga wa barabaran bosi wake anakula na kubadili madem kila siku yaan acha niishie hapo yapo meng hata huko kwenye vyombo vingine ni hovyo mnadanganywa na reshen na vinywaji mishahara kiduchu Jinga sana nyie majamaa
Wewe hukwenda kujiajiri kwa kukosa option, you went there because you chosen that path! Wanaolalamika hapa ni hawa ambao waliambiwa soma mwanangu upate kazi nzuri π π π akili imejengwa hivyo toka ground β0β halafu ghafla unaambiwa kazi amna jiajiri!Kwahio mkuu wengine waliojiajiri hawakupita shule kama wewe?