Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Kichwa cha habari kinajieleza vizuri.
Hizi story za kujiajiri ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa serikali ambao wao ni waajiriwa zinaumiza sana.
Haiwezekani nipo shuleni kuanzia Nina umri wa miaka 6 Mpaka leo Nina miaka 25/26 then uje uniambie nijiajiri.
Najiajiri Nini Sasa?
Inaudhi sana.
Hizi story za kujiajiri ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa serikali ambao wao ni waajiriwa zinaumiza sana.
Haiwezekani nipo shuleni kuanzia Nina umri wa miaka 6 Mpaka leo Nina miaka 25/26 then uje uniambie nijiajiri.
Najiajiri Nini Sasa?
Inaudhi sana.