Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,464
- 28,068
Wadau poleni na mihangaiko ya maisha.
Kwa kifupi nilikuwa nadate na binti mmoja kabla hajahama kwenda mkoa mwingine, mara ya mwisho nimelala naye Jan 3 ya mwaka huu Jan 4 aliniambia yupo siku zake na kiuono kinamuuma sana, baada ya situation hiyo kulitokea sintofahamu mpaka anaondoka.
Sasa leo kanitumia sms ananiambia ana ujauzito wangu, nimemuuliza imewezekana vipi apate mimba yangu wakati baada ya kukutana na mimi uliingia katika siku zako.
Amejibu hata yeye hajui, ila amepima kaambiwa ana mimba ya miezi miwili na hajakutana na mwanaume mwingine zaidi yangu.Nikaona isiwe kesi, nikamwambia sawa itabidi azae tu, cha ajabu ananiambia eti hayuko tayari kuzaa kwa sasa.
Wadau bado simuelewi huyu binti, kwanini akazanie kutoa. Je ni njia tu ya kunidanganya.
Kwa kifupi nilikuwa nadate na binti mmoja kabla hajahama kwenda mkoa mwingine, mara ya mwisho nimelala naye Jan 3 ya mwaka huu Jan 4 aliniambia yupo siku zake na kiuono kinamuuma sana, baada ya situation hiyo kulitokea sintofahamu mpaka anaondoka.
Sasa leo kanitumia sms ananiambia ana ujauzito wangu, nimemuuliza imewezekana vipi apate mimba yangu wakati baada ya kukutana na mimi uliingia katika siku zako.
Amejibu hata yeye hajui, ila amepima kaambiwa ana mimba ya miezi miwili na hajakutana na mwanaume mwingine zaidi yangu.Nikaona isiwe kesi, nikamwambia sawa itabidi azae tu, cha ajabu ananiambia eti hayuko tayari kuzaa kwa sasa.
Wadau bado simuelewi huyu binti, kwanini akazanie kutoa. Je ni njia tu ya kunidanganya.