CDF wala IGP hapashwi kumpigia salute mkuu wa wilaya, kwa IGP PGO inamtaka kumpigia salute kuanzia RC, hapo CDF hajapiga salute bali kapokea salute na ndo sababu unaona yuko mguu pande.Mkuu wa Wilaya ni muwakilishi wa rais,
So,hiyo ni heshima kwa muwakilishi wa rais kwenye wilaya.