INAWEZA IKATOKEA LUGHA MPYA HAPA DUNIANI

INAWEZA IKATOKEA LUGHA MPYA HAPA DUNIANI

max mathew

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
32
Reaction score
33
Nimefikiriaa mtoto akizaliwa huzungumza lugha ya sehemu alipo zaliwa sasa huwa najiuliza ikitokea wakachukuliwa watoto wachanga kama 10 au zaidi wakawekwa sehemu ambyo hawawezi kusikia lugha yoyote hadi wanakua wakubwa je wataongea lugha gani?
au watakua bubu?
tusaidiane
 
Ebu watu wajitokeze kutoa watoto tuwafungie a place where no one Who can recognise them.
 
aisee mmefikia mpaka kuwatoa watoto wakae sehemu moja ili muone kama wataongea lugha gani
kwani unafikiri Mungu awezi kuwafanya wakaelewana na kuanza kuzungumza
 
Sio lazima wafungiwe hata tu ukiwaweka watoto let say wa miez 9 huwa wanaongea lugha yao na wanaelewana
 
Nimefikiriaa mtoto akizaliwa huzungumza lugha ya sehemu alipo zaliwa sasa huwa najiuliza ikitokea wakachukuliwa watoto wachanga kama 10 au zaidi wakawekwa sehemu ambyo hawawezi kusikia lugha yoyote hadi wanakua wakubwa je wataongea lugha gani?
au watakua bubu?
tusaidiane
Waliotusababishia UKIMWI walianza na mawazo kama ya kwako kuwawazia Sokwe
 
Back
Top Bottom