Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,615
- 2,031
Brother
Hata mwanamke ulienae ni mzuri kuliko unaemtamani...kuliko yule unaemuona kapendeza huko ofisini au barabarani ..jaribu kwanza kumpenda huyu ulie nae, na kumpa upendo wako, huku ukiendelea kumpendezesha zaidi ya yule unae muona barabarani na kumtamani.. Trust me ukifanya hayo mambo atapendeza kuliko huyu unaemtamani....atanawiri vizuri, atatakata vizuri, na hata ukimtazama utajilaumu kwanini hukuligundua hilo mapema...
[HASHTAG]#Hakuna[/HASHTAG] mwanamke asievutia..... mawazo, maisha ndiyo yanawafanya waonekane kuchoka ...mpe upendo, mfanye apendeze then mtazame utaona mabadiliko.. Utaona alivyo mrembo kuliko hao unaowatamani huko njiani.
Hata mwanamke ulienae ni mzuri kuliko unaemtamani...kuliko yule unaemuona kapendeza huko ofisini au barabarani ..jaribu kwanza kumpenda huyu ulie nae, na kumpa upendo wako, huku ukiendelea kumpendezesha zaidi ya yule unae muona barabarani na kumtamani.. Trust me ukifanya hayo mambo atapendeza kuliko huyu unaemtamani....atanawiri vizuri, atatakata vizuri, na hata ukimtazama utajilaumu kwanini hukuligundua hilo mapema...
[HASHTAG]#Hakuna[/HASHTAG] mwanamke asievutia..... mawazo, maisha ndiyo yanawafanya waonekane kuchoka ...mpe upendo, mfanye apendeze then mtazame utaona mabadiliko.. Utaona alivyo mrembo kuliko hao unaowatamani huko njiani.