Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,188
- 27,043
naona mmehamishia majeshi huku khaaa mnaharibu uzi wa watuShem darling nawaonaaa nawaonaaa
naona mmehamishia majeshi huku khaaa mnaharibu uzi wa watuShem darling nawaonaaa nawaonaaa
naona mmehamishia majeshi huku khaaa mnaharibu uzi wa watu
Hahahaha...shem urudi mjini sasa..porini sio kuzuri kwa afya yako..
Nimesahau hata kwenyw uzi jamaa kaongelea nn
Dont worry i will be alrightHahahaha...shem urudi mjini sasa..porini sio kuzuri kwa afya yako..
Weee,lini nije na Mr..??tuone mema ya nchi shem..Dont worry i will be alright
Huku kumenoga shem
Tutapanga usjali tunaweka mipango na mzee mje huku sku mojaWeee,lini nije na Mr..??tuone mema ya nchi shem..
Aiseee,nimepatamaniajeeeTutapanga usjali tunaweka mipango na mzee mje huku sku moja
HahahaAiseee,nimepatamaniajeee
Ahsante shemlitoHahaha
Usjali mtakuja huku ni kwetu sote
Ahsante shemlito
Ndo mida yangu bossMkuu hujalala tu mpaka sasa hivi?
Ndo uache ufake sasa, jana nimekuona na kichuguu hatari mpaka nikakohoa kohokoho, mara leo tako moja limepinda, mara wewe huyohuyo kesho uko flat. Shida yote hii ya nini ati, khaa!Kweli kabisaa wanakazi za kuoa nchi jirani tuu Sisi dada zao Wala!! Wanatulalamikia wakati shida ziko kwao
Punguza balimi mkuuNdo uache ufake sasa, jana nimekuona na kichuguu hatari mpaka nikakohoa kohokoho, mara leo tako moja limepinda, mara wewe huyohuyo kesho uko flat. Shida yote hii ya nini ati, khaa!
Balimi pure drinking water.Punguza balimi mkuu
vyovyote tuuBalimi pure drinking water.
Ramadhani ikiisha nisindikize kwa Mr. Slim namimi nikajisevie.vyovyote tuu
sasa huyo Si mnajua nyie wanaume wa dar huku kolomije hatui kabisaRamadhani ikiisha nisindikize kwa Mr. Slim namimi nikajisevie.
Hahaah! Ndomana nilikimbia kolomije maana napitwa na mengi mno kusikia wanaoa jirani kunani huko.sasa huyo Si mnajua nyie wanaume wa dar huku kolomije hatui kabisa