Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,835
Baada ya kumuona Membe amechukua fomu ya Urais leo, nimehitimisha hakuna kuungana Kati ya Chadema na ACT licha ya vyama hivyo kupigia debe suala hili kabla hata ya mchakato wa uchaguzi
Nilitarajia Chadema kuwaachia ACT majimbo yote Zanzibar na Urais na majimbo ya ukanda wa Pwani ambako CUF ilikuwa na nguvu kabla ya kumeguka, na ACT walipe fadhila kwa kuinga mkono CHADEMA kwenye Urais wa Muungano
Nilimsikia Mbowe na Tundu Lissu wakitamka kuwa japo wamesimamisha wagombea nchi nzima na Zanzibar walikuwa tayari kuwaondoa baadhi ya majimbo kwa Sababu walikuwa kwenye mazungumzo na ACT,
Je, ni nini kimekwamisha Muungano huu?
Nilitarajia Chadema kuwaachia ACT majimbo yote Zanzibar na Urais na majimbo ya ukanda wa Pwani ambako CUF ilikuwa na nguvu kabla ya kumeguka, na ACT walipe fadhila kwa kuinga mkono CHADEMA kwenye Urais wa Muungano
Nilimsikia Mbowe na Tundu Lissu wakitamka kuwa japo wamesimamisha wagombea nchi nzima na Zanzibar walikuwa tayari kuwaondoa baadhi ya majimbo kwa Sababu walikuwa kwenye mazungumzo na ACT,
Je, ni nini kimekwamisha Muungano huu?