mkuu kumuamini mwanamke ni kujitafutia matatizo yasiyotatulikakumuamini lazima umuamini ila pia anatakiwa afahamu endapo akifumaniwa nini kinachofuata hakuna mjadala...
waliotulia wapo mkuu...mkuu kumuamini mwanamke ni kujitafutia matatizo yasiyotatulika
Even a dead body
mkuu badilikeni, nyie ndo mnasababisha mkaa utumike kuwaadhibuTutayasikia mengi
π π π π imeisha hiyo.
wanapatikana sayari gani? au kwa kua hujamfuma ndo maana unajiaminisha?waliotulia wapo mkuu...
kumbe kule kutusifia na viapo vya kutusaliti hua mnatung'ong'a tu mkuu?Trust nobody
...noti iveni yuaselfuTrust nobody
Goshhhhhh...noti iveni yuaselfu