Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?
demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
Wewe ndiye mwenye tatizo cantona inaoneka ulikuwa haumpi ukuni wa kutosha kitandani, navyoamini mimi mwanamke kama unapa dozi ya kutosha hata kama wewe unasura ya sokwe atakuheshimu sana na haitatokea akudharau.
demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha!vp we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan??
Mi demu nikishamtafuna hata nambie nini wala huwa siangalii mara 2. Nabaki napiga mluzi tu huku nikitingisha mguu kwa mbaliiiiii wakati yeye anatoa povu lake anavyoondoka.
Mi demu nikishamtafuna hata nambie nini wala huwa siangalii mara 2. Nabaki napiga mluzi tu huku nikitingisha mguu kwa mbaliiiiii wakati yeye anatoa povu lake anavyoondoka.
Demu wangu alipokuwa ananiacha aliniambia eti nina sura mbaya ndo mana ananiacha. Vipi we mwanaume mwenzangu ulivyoachwa demu wako alisema anakuacha kwa sababu gan?
Niliulizwa tu kwamba unanidai, nikajibu hapana, tumegombana, hapana. Nikaambiwa kama KITU ni hapana kuanzia leo mm na ww basss. Nimempata mwingine wa size yangu cwezi kuwa na ww anymore kwaheri.
Kikubwa ilikuwa ni kipato tu ndo kilinitenganisha nae but wazungu waliposema time will tel hawakukosea kuna cku nilikutana nae ckuamini na yy hakuamini macho yake zaidi ya kulia kwa uchungu
Ckuwa na jinsi nilipaki gari pembeni nikamsihi asilie na nilipomuuliza kama ananidai alinijibu tu kwamba anatamani ardhi ipasuke kwa yaliyomkuta kwa yule mwanaume wake kwa jinsi alivyomtenda.
Ni story ndefu ila mwisho nilimwambia nimekwishaoa nina mke mzuri, msomi na watoto wawili.