Inatosha.

[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mmoja ali mwandikia thread kiduku lilo. bila shaka PM yake imejaa sana wadada...kwa nini na wewe usiige mwandiko
 
Nimecheka hadi machozi, nenda chit chat, mshana dawa zake zilifanya wanawake wanajisahau, wakaamuwa kuweka picha zao nusu,mshana akaongeza dozi wakaweka hadi nusu uchi, sasa wewe utakosaje mwanamke kwa promo ile?

Nenda uchakue kifaa kwenye ule Uzi wacha kulialia.
Mchana kawarahisisia kazi wacheni uzembe.

Mshana Mungu utamwambiaga nini? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nshapata jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…