Hizo ndio Athari za ccm baada ya 50yrs tunaziona na bado tutaendelea kuziona nchi haina Umeme wa uhakia, Maji safi hakuna, Hospital hazina dawa, Viongozi waadilifu hatuna ila tuna Majambazi kama Kikwete na genge lake, Sheria zipo hazifuatwi, Ardhi wanauziwa Wageni, Ajira ndio usiseme wageni kwanza mwenyeji Baadaye na Njaa inanyemelea isjui tutatokea waoi.
Mungu tunusuru na haya Mabalaa tunayosukumiwa na Genge la Majambazi na iangamize CCM kama ulivyoliangamiza Jeshi la Firauni