Nkwabichalleslutonja
Member
- Jul 12, 2017
- 84
- 77
Nimesex na msichana kama mara 5 hivi lakini ndani ya huo mda kila siku naweza kumpima lakini hataki siku moja usiku akawa anakohoa sana nikawa nina mashaka naye sana nikamuuliza vipi? mbona unakohoa sana akajibu labda sababu mafuta, alikuwa mhudumu wa hotel.
Nikamwambia kesho nikupime malaria akakubali kweli ikabidi nifanye hivyo ni kampima hivi ni kamkuta positive kwa kweli nikashikwa na butwa baadaye nikajikanza kiume nikaenda kituo cha afya ni kapima japo ni pre ikawa negative.
Nikawaeleza wakanipa hizi dawa za PEP, yaani post exposure prophylaxis hizi dawa hutumika ndani ya masaa 72 endapo umepita mazingira hatarishi kama hayo huzuia maambukizi mpaka Leo ni week 6 majibu ni negative.
Kwa kweli siwezi ficha nilikuwa na shiriki kizembe mno napinga bao moja kwa dakika moja mpaka mnaachana asubuhi. Je kuna uwezekano wakutoka salama baada ya siku 90.
Nikamwambia kesho nikupime malaria akakubali kweli ikabidi nifanye hivyo ni kampima hivi ni kamkuta positive kwa kweli nikashikwa na butwa baadaye nikajikanza kiume nikaenda kituo cha afya ni kapima japo ni pre ikawa negative.
Nikawaeleza wakanipa hizi dawa za PEP, yaani post exposure prophylaxis hizi dawa hutumika ndani ya masaa 72 endapo umepita mazingira hatarishi kama hayo huzuia maambukizi mpaka Leo ni week 6 majibu ni negative.
Kwa kweli siwezi ficha nilikuwa na shiriki kizembe mno napinga bao moja kwa dakika moja mpaka mnaachana asubuhi. Je kuna uwezekano wakutoka salama baada ya siku 90.