Inashangaza...

mgumu4real

Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
11
Reaction score
4
hivi jamani mmewahi ona hii? eti m2 ana mpenzi wake ambae wanajuana kila kona lakini cha kushangaza eti mwanaume akiuziwa au akiwa hajapendezwa na ki2anashindwa kufunguka na kubaki na kinyongo. hii imekaaje
 
Kufunguka ni tabia na uamuzi wa mtu binafsi. Na kubaki na kinyongo ni uamuzi pia.
 
inategemea uzito wa jambo husika, na si kila kitu ni kufunguka.may be amekuwa akifunguka anaambulia verse tu hata kwa mambo ambayo yako wazi,so anaamua kuacha.
 
Hahaha exkidumu kuonjeshwa tu unataka kuchonga mzinga? Afu twende tukaongelee ile issue exkidumu, me love the benefits from you more hehehe
My ex kidumu is a philosopher. . .love you still.
 
Kama amekua akiongea haoni mabadiliko yoyote, kukaa kimya inaweza tokea
 
hivi jamani mmewahi ona hii? eti m2 ana mpenzi wake ambae wanajuana kila kona lakini cha kushangaza eti mwanaume akiuziwa au akiwa hajapendezwa na ki2anashindwa kufunguka na kubaki na kinyongo. hii imekaaje

ukiona hivyo ujue huyo mwanaume anaongozwa na mwanamke, anaogopa kuchukua maamuzi magumu, anadhani kwamba kuwa na huyo mwanamke ni kama bahati( mwanamke matawi), au anatoka katika familia ambayo mama alikuwa anamkontroo baba au alilelewa na mama pekee.
 
hivi jamani mmewahi ona hii? eti m2 ana mpenzi wake ambae wanajuana kila kona lakini cha kushangaza eti mwanaume akiuziwa au akiwa hajapendezwa na ki2anashindwa kufunguka na kubaki na kinyongo. hii imekaaje
Huyo mwanaume atakuwa ni introvert
Mazoea hayawezi kumbadilisha.
 
Sasa akikaa na kinyongo atasaidiwaje? kumbuka mficha maradh kifo humuumbua jaman. dawa ya tatizo ni kulitatua na sio kuliweka kapuni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…