Inasemekana Wahuni wamewatishia Majaji kesi ya Dkt Malisa dhidi ya CCM ya Genge la Samia mpaka Muda huu 14/8/2025 ni Kimya !.

Inasemekana Wahuni wamewatishia Majaji kesi ya Dkt Malisa dhidi ya CCM ya Genge la Samia mpaka Muda huu 14/8/2025 ni Kimya !.

Kwa nilichokiona kwenye harambee ya ccm hii nchi bado miaka 180 kujitambua yaani kizazi chetu kiishe na cha watoto wetu kiishe wajukuu wetu sasa wanapoenda kuzeeka wale watoto wao ndo wata ing'oa ccm madarakani.

Kwa sasa sisi bado ni kondoo tu kwa ccm
 
Wakuu mnakumbuka ilikua ni Leo Majaji kuamua Suala la Samia kujiteua kua Mgombea ?.

Majaji wametishiwa na wametishika
Tanzania hakuna majaji kwa sasa. wale ni wana ccm tu wanaovaa majoho
majaji walikuwa kina samata, Nyarali na wengine wa kizazi kila
WALE NDO WALIKUWA MAJAJI SIO HAWA WAPUMBAVU WA SASA
 
Kwamba!

Na hakuna taarifa ya kusogezwa mbele?
 
Kama majaji wanateuliwa na raisi sidhani kama kuna jipya kwenye hiyo kesi
 
Kwa nilichokiona kwenye harambee ya ccm hii nchi bado miaka 180 kujitambua yaani kizazi chetu kiishe na cha watoto wetu kiishe wajukuu wetu sasa wanapoenda kuzeeka wale watoto wao ndo wata ing'oa ccm madarakani.

Kwa sasa sisi bado ni kondoo tu kwa ccm
Lakini jiwe aliwaweza. Kwa wale mapapa, hakika ni kama kuhalalisha kula kwa urefu wa kamba. Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom