Inasemekana Waafrika wawili akiwemo Mtanzania Nemes waliofariki vitani wakipigania upande wa Urusi walikuwa wanafunzi

Because he is over 18, ni mtu mzima aliyefanya maamuzi yake binafsi, akakiacha kitabu akakimbilia bunduki..... 😁😁
 
Wagner PMC ni private military company kama ilivyo Black waters kule Marekani. Wao wapo kikazi zaidi. Hata wewe ukiwahitaji unawapa pesa wanakufanyia kazi yako.
 
Now that he is dead for a war that benefits white people and yet you say there are benefits! What benefits
Wagner are somehow like mercenaries, so their soldiers are getting mtonyo wa maana sana. Wagner group haijakaa kizalendo sana.

Sasa tunajuaje labda jamaa alipiga hesabu akaona akienda akarudi anaondoka na pesa ndefu ya mtaji.......... Mcha. .... no mtu yeyote tu haingii sehemu kichwakichwa na hamna hela au faida
 
Wagner Group wanalipa Rubbles 240,000 kwa mwezi, ambayo Ni Kama Tsh. 8mil kwa mwezi na bado Kuna benefit nyingine Kama Health Insurance na mengineyo.
 
Taifa kama Tanzania ili liwe salama lazima liwe na vijana kama huyo na yumkini wapo wengi "undercover" vitani sehemu nyingine duniani.

Kama ubalozi umesema utatoa taarifa kwa familia mwili ukifika inatosha. Familia nayo iwe sikivu kwa ubalozi kijana azikwe na nishani ya ushujaa. Pumzika kwa amani mzalendo wetu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wagner PMC ni private military company kama ilivyo Black waters kule Marekani. Wao wapo kikazi zaidi. Hata wewe ukiwahitaji unawapa pesa wanakufanyia kazi yako.
Nafahamu lakini sijakupata umekusudia kuniambia nini.
Sijaipata mantiki ya post yako.
 
Ni mamluki siyo majasusi.
Kuhusu kufa kwa ajili ya waafrika naona umethibitisha 54 walikufa wakiwa mazingira ya kazini huku Afrika aijalishi walikuda kwa namna ipi ilimradi awakufia nchini kwao au hawakufia Afrika kama watalii.
 
Kuna wanafunzi wanasoma na huku wanajishughulisha na kazi za muda. Bora kufia kazini kwa heshima, kuliko kufia kifuani kwa UKIMWI.
 
Right. Tena ilikuwa ni Soviet Union sio Russia kama ilivyo leo. Jeshi lake lilikuwa na askari na wataalamu wengi toka Ukraine ambayo ndiyo ilikuwa kitovu cha teknolojia (centre of excellence) cha USSR.
 
Inasikitisha, ucha Mungu unapokuwa chanzo cha kukosa utu badala ya kukuzidishia maarifa.
 
Sio majasusi, askari wa kukodi "mamluki" aka "mercenaries"
 
Kijana alikuwa mzalendo wa Urusi
Anampigania Putin
Ataletwa na mshahara wake wa jeshi la kukodiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…