Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Dada anayesimamia mochwari ya Mwananyamala hajulikani alipo, kutokana na video za maiti za waandamanaji kuvuja. Mdugu zake wananmtafuta mpaka sasa.
Mpaka mtu unashindwa kuelewa ni akili gani zinatumika huko serikalini! Kumkamata huyo dada, yule daktari aliyekuwa wa Mwanza inasaidia nini wakati Dunia nzima inajua ukweli?
Hakuna namna nyingine zaidi ya kuwajibika kutokana na vifo vyote vilivyotokea, damu ya mtu haiendagi bure, kila tone lililomwagika lazima lilipiwe.o
Mpaka mtu unashindwa kuelewa ni akili gani zinatumika huko serikalini! Kumkamata huyo dada, yule daktari aliyekuwa wa Mwanza inasaidia nini wakati Dunia nzima inajua ukweli?
Hakuna namna nyingine zaidi ya kuwajibika kutokana na vifo vyote vilivyotokea, damu ya mtu haiendagi bure, kila tone lililomwagika lazima lilipiwe.o