Inaniumiza sana

Kuna dada mmoja ninafanya nae kazi ni mbaya ila anajiamini mpaka nafurahi, naomba ujiamini sana.
 
Uko kwenye kuvaa ndio changamoto sababu kwa umbo langu navaa magaun marefu mapana au sketi ndefu Pana Sasa yeye halend ivyo
Sasa siuvae anazozipenda besti,kama ni mwili siunafanya tu mazoezi na dayati.dunia hii hakuna kibonge wala kimbaumbau,kuna warefu ,na wafupi na wakatikati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipendezeshe uwe kama binti wa miaka 18,usijiweke kizee zee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…