Mlio kuwa hamjampata amekusudia sasa kasikia ana kazi nzuri na mshahara wake babkubwa demu kamua kumlilia au nimekosea thread poster.
Mimi nakushauri kama ulisha mtema basi na wengine wameisha mtema na wengine wamemtemea sana tena sana, hivyo usi slow down endelea na safari yako....wasichana wako wengi tu usiogope, safari sio kifo....utafika tu kwa wengine wazuri kuliko huyo, kule mbele utakutana na new model afu totoz za siku hzi hazili sana, uta save sana pesa ya mlo :biggrin: