Inaniuma saana


unajua kuna vi sentensi ambavyo tukivisikia huwa tunavutiwa kutangaza ndoa.Sio sichana linaongoza kuzungumzia viwanja na mapafyumu ya bei za juu tofauti na uwezo wake.MENGINE NDO YALE YANAYOJUA KUDRIVE GARI ILA KUSONGA UGALI HAYAWEZ DAMN IT.
NISIPONDE SANA KWA WANAWAKE PIA HATA UPANDE WETU YAPO MAVIMEO WE UNAKUTA JANAUME KILA SIKU LINAENDA GYM KUBEBA MAVYUMA MAKUBWA ILA LIAMBIE LIKUSAIDIE KUBEBA MAJI UONE LINAVYOPOROMOSHA MASABABU DAMN IT.
 
anachosema Billie ni sahihi kuna CHAPA chezea na CHAPA olewa..
Koo nyingine zilishabeba nuksi..mabinti hawaolew...
Ndo anazopita mtoa mada

Mbona hata dada @ lara 1 analijua
 
Last edited by a moderator:

Micharuko wanajulikana tu hata story na uongeaji wake.
 
Hii dhana yakuchezea mwanamke huwa sielewagi!!!!!unamchezea how wakati kama kufanya mnafanya wote..........mwanaume anayejitambua pia hachezei mwanamke.

Mi mwenyewe huwa siielewi. mapenz yakifika mwisho mwanamke na majirani utawasikia Billie umemchezea mtoto wa watu.So hebu nenda kwa madada wenzako waache kuitamka kauli hii kama hawajui maana yake.
 
Last edited by a moderator:
Da! Pole sana kaka, ila hawa wa2 cyo. Au unaingia kwa mkwara mzito baadae unashindwa kuhimili mapigo? (gharama). Utakae mpata mhoneshe maisha ya kawaida saaana. Na huconeshe kama unampenda kivile den husimhadisie kuhusu wale X-machangu yako
 
pole sana mkuu-kama wewe ni mople jaribu kuwa rough kwenye mapenzi-kuwa mkorofi-lazima watabehave tu wakiwa na wewe-na si kila demu unayempata unamchukulia kuwa huyo ndo atakuwa mkeo-kaa nao kwanza uwasome vyema
 

Aisee haya ni majanga. Worry out. There is a light at the end of the tunnel
 

uwezo wako 6x6 ukoje? jaribu kuji-assess vizuri hapo!
 
Ndugu una umri gani kama ni zaid ya 28 tafuta mke lkn kama ulivyo shauriwa kua kuna mke wa kuoa na wanawake wa kucheza nao lkn kama hujafika hiyo age jipange kimaisha sanasana weka miraad inayo zarisha hawa viumbe watakuharibia future wapo na watazid kuwepo. Pia fanya mazoez hasa ya kukimbia na viungo ili kuongeza ufanis 6x6 watakuja wenyewe.
 
Dah . . . .pole sana kaka , girls are more than foxes, unawapa kils kitu ils wanaishia kudisappoint watu,we panga maisha yako kaka na umwombe Mungu utapata mwaminifu kaka pole sana, wanawake wengi ni short sighted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…