Inaniuma saana


ASANTE KWA USHAURI ILA KUHUSU KUSAMEHE HAIPO KABISAA!! Nashukuru amejielewa akakauka coz sijui ni nini ningemwambia au kumfanyia kama ange dhubutu ninitafuta
 
kuna sehem ya kupreview post,ungefanya hivyo ingekua bora zaidi.........

I find it so hard to believe this story hasa the last part ya ufumanizi,kupigiwa sim

ila kama ni kweli pole yako,
post yako imekaa kikumtetea dwmu mwenzio hujamshauri chochote
 

nimekuelewa but umejiuliza kama ningekuwa nisha oa na yametokea haya ingekuwaje?? hakuna anayetaka kuoa serious akakupeleka gest me siafiki hii kitu!! anataka kuoa akiwa anaishi wapi??
 
Hiki kisa kama cyo cha kubuni cjui ila kama ni cha kweli pole Ushauri wangu kwako jaribu Kufunga na kumrudia Mungu atakuongoza and uwe makini kwama walivyo xema wenzangu hapo juu cyo kila mwanamke waweza kuoa...

unadhani naweza ku buni kwa faida gani hapa?? we mchaga vipi baaana
 
ila omba Mungu, coz kuna roho za kukataliwa pia unajua....so unaweza ukawa unalaumu wadada kumbe ww ndo una tatizo....
Km ni mkristo najua unaelewa nachomaanisha

ni kweli ila rogo ya kukataliwa ningeiona tangu naanza kupenda awali but mbona wote wananikubalia dhen ndo wanakuja kusumbua tena baada ya muda mrefu saana?

Asante kwa mchango na mawazo yako
 
Unatafuta wazuri mno ambao sio size yako, we miaka 7 na kuchenji lovers si una Masters ya mapenzi, ila pole ka kweli

ha ah aha ha!! hakuna mzuri wa size ya mtu katika mapenzi!! katika mapenzi ni lazima uwe na mpenzi unayempenda na type unayoupenda pia!! mimi naamini mwanamke yoyote ninayempenda nina haki ya kuwa naye hata kama mzuri au m baya!!
 
Nooooo,kaka yangu don dare do that, hakuna chochote cha maana utakachopata zaidi ya dhambi!
Ww tulia tu,omba toba... mwambie,Mungu....ht hayo maumivu yataisha

thanks dada yangu
 

Una kitu si bure! anza maombi Mungu akufunulie kinachofanya wanawake wakukimbie.
 
Erik mkuu, usikonde kiongozi wangu. Wote tumepitia huko. Ni mambo ya kawaida sana. Cha msingi piga goti umshukuru Muumba wako, hujui amekuepushia nini. Pili, ignore the trick completely and live your life to the "fullest". Hakikisha you surround yourself with positive energy and people. Find a female friend to hang out with platonically akupunguzie mawazo. Usikimbilie rebound relationship kwani huwa hazidumu. Have no contact with your immediate ex. Usimtukane wala kumbembeleza. No phone calls, no sms, no email nothing. Wewe kula bata tu na kama ni member wa social media hakikisha unapost snaps ukiwa unakula bata umekenua meno kabisa. Mark my words, she will be going over your every move na ndio payback nzuri sana. Sio mambo ya matusi sijui kashfa blah blah blah. Hawa viumbe wengi wao hawajatulia lakini cha msingi ni wewe kuwa makini manake umezaliwa mwanaume. Usitumie papara wala hasira mkuu. Live like she ain't a thing to you. She cheated on you so she aint worth jack! Muombe Mawlana akupe binti mwingine aliye mstaarabu na tayari kwa ndoa.

Hawa dotcom wa social media and places (swimming pools, farmer's markets, clubs, mbudya, zanzibar and other events) wengi wao wamekaa ki-bata bata zaidi. Yaani inabidi uwachukulie ki-starehe zaidi kama Pepsi vending machine unaingiza noti, unachagua mountain dew, unabonyeza soda inatoka, unatoa kwenye kishimo halafu unasepa zako. Ukitaka kung'ang'ania unaweza kuambiwa "I just wanted a photo of you for my instagram page because you look like Tyrese" 🙂. Life goes on mwanangu.
 
today you have proved that my perception about you is the reality.........

hala hala huo Ukubwa ulioongeza usizidi sana ikawa mtafutano hapo baadae!!!!!!!!
Na ukubwa unanihakikishia mimi umiliki wangu kwako... Maana ukiniacha tu, hao wengine utaona fulu vimabia mwanzo mwisho.... By the way, what is your perception that has turned into reality..???
 
Aina ya wanawake unaochagua ndiyo tatizo.pole badili uelekeo.
 
nimekuelewa but umejiuliza kama ningekuwa nisha oa na yametokea haya ingekuwaje?? hakuna anayetaka kuoa serious akakupeleka gest me siafiki hii kitu!! anataka kuoa akiwa anaishi wapi??

Ni kweli hapo nilipo bold na ndio maana nikasema ukiondoa huyo wa fumanizi (ambae umemkuta guest), hao wengine ndio nikatoa assumption which means hata mie nilisham-delete kwa waolewaji
 
Duhh pole sana aisee jaribu kuwa mpole na kuongeza consetration kwenye kaz itakusaidia kufocus far zaid ya unapoona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…