Rjohn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 613
- 128
Kuna pesa nyingi ambazo zanatolewa na Wasukuma wengi hapa MLIMBA mkoani MOROGORO-KILOMBERO, kama faini kupitia agizo lililowataka watoe ng'ombe ambazo zilionekana ni kero na uharibf wa mazngira, wasukuma hao wametozwa pesa nying sana wapo waliotoa had milion 54,chin ya police na mgambo pia watu waliodaiwa kutoka wilayani.je pesa hz znakwenda WAPI?