Inakuwaje Rais anatoka CHADEMA na PM CCM?

Inakuwaje Rais anatoka CHADEMA na PM CCM?

Naona sasa mnaanda watu ki-saikolojia, kwa habari ya uraisi...............


Ila kwenye ubunge na udiwani mnataka mchezeshe zengwe!!!...


Hilo...halitakubalika ng'oooo


tunaangusha mti na mizizi tunang'oa.

Halitaachwa jiwe juu ya jiwe ambalo litasalia
 
Idadi ya wabunge wanayoihitaji UKAWA ili kuunda kuunda baraza la mawaziri ni 133 tu. Jumla ya wabunge wote wa JMT baada ya uchaguzi watakuwa 265, hivyo 133 ni zaidi ya nusu ya wabunge wote. Kwa hiyo UKAWA watakuwa na wabunge wengi kuliko ccm hivyo kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi muhimu bungeni.

Ccm ndio mwisho wao wa kututawala kibabe
 
Acha ujinga dogo::;

ktk kipindi ambacho lowasa atapiga kampeni za bei chei ni kipindi hiki!!!, haitaji kusafirisha watu kwa malori, na kuwanunulia khanga, wala kofia, wala chakula....
 
Umenifungua akili. Kwani PM hachaguliwi na rais? Tanzania is a presidential system and not a parliamentarian one, unless I am mistaken. Pinda si alichaguliwa na JK au na Parliament?
 
Ukawa watapata ushindi wa kutosha kuunda serikali,, ondoa shaka
 
OK nimefahamu kwa maelezo ya wengine humu. Tungojee tuone.
 
It's not a big deal..
Look,PM ametoka CCM,lakini baraza la mawaziri lote limeundwa na ukawa..na mwenyekiti wa baraza la mawaziri ni rais..mwenye last say ni rais..
Tatizo ninaoona hapo ni jinsi gani PM atakumbana na unyanyapaa pale barazani..

 
Jee Waziri Mkuu anaweza kufukuzwa kazi na rais?
Kwa kweli itakuwa dmokrasia nzuri sana kama PM atatoka CCM (upinzani). Itakuwa bora hata kuliko Kenya, na itafungua milango ya utawala bora.
 
Jaribu kuwa realistic mkuu.Ushndi mwaka huu utatenganishwa na tofauti ya 1-5 % ya kura.Na bado survey inamweka mbele mgombea wa CCM(forget Magufuri)

Hiyo difference baada ya kuiba kura.
CCM hawawezi kufikisha 20% ya kura wakienda in a fair war.
 
Naona sasa mnaanda watu ki-saikolojia, kwa habari ya uraisi...............


Ila kwenye ubunge na udiwani mnataka mchezeshe zengwe!!!...


Hilo...halitakubalika ng'oooo


tunaangusha mti na mizizi tunang'oa.

Halitaachwa jiwe juu ya jiwe ambalo litasalia

Mkuu kung'oa haitoshi,tunachoma moto kabisa.
 
wabunge watakaoshinda ukawa wanatosha kabsa kuunda baraza la mawaziri mpaka chenji inabaki hlo ondoa hofu, kwa upande wa halmashauli zetu kwakua madiwani wa ccm weng n mambulula na sisi damu changa tuna elimu ya juu na tunagombea udiwani kupitia ukawa, basi tutatumia elimu yetu kuwaburuza mpaka wafate matakwa ya mh. lowassa, diwani atakayesumbua tunakwenda kuweka kambi katani kwake kushawishi wananch wampindue ambapo tukirudia uchaguz n dhahiri UKAWA watashinda, n mwendo huohuo mpk kieleweke

ha haa haaa, tutatumia elimu zetu vizuri sio kama maprof na madocta wa CCM walioamua kuweka elimu na upeo wao mkubwa wa kufikiri mifukoni.. well say mkuu
 
Back
Top Bottom