Intricate
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 395
- 1,232
KUlikuwa na haja gani ya kuwa na huu uchaguzi ikiwa ni maigizo matupu.
Nimezunguka Dar yote sijaona picha wala bango la mgombea mwingine yeyote wa Uraisi mbali ya Samia.
Ikija kwa wabunge na madiwani ni wa CCM tu ndio wametanda. Kwa picha chache za upinzani zilizopo ni vikaratasi vya A4 ambavyo vimemezwa na mipicha mikubwa ya wana CCM.
Huu uchaguzi umekuwa mithili ya mechi ya mpira ambayo wachezaji wa timu zote mbili wanafungia goli moja na point zote zinaenda kwa timu moja tu.
Nimezunguka Dar yote sijaona picha wala bango la mgombea mwingine yeyote wa Uraisi mbali ya Samia.
Ikija kwa wabunge na madiwani ni wa CCM tu ndio wametanda. Kwa picha chache za upinzani zilizopo ni vikaratasi vya A4 ambavyo vimemezwa na mipicha mikubwa ya wana CCM.
Huu uchaguzi umekuwa mithili ya mechi ya mpira ambayo wachezaji wa timu zote mbili wanafungia goli moja na point zote zinaenda kwa timu moja tu.