Inakuwaje Kapuya anashinda Ubunge?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,145
79,283
Wajameni hebu niambieni huyu Prof. huwa anashinda vp ubunge maana katika watu ambao huboronga yeye huongoza na zaidi ya hapo hupataje uwaziri au ndo ule undugu na Mkulu! nchi hii uniudhi kha!
 
He is the luckiest person on earth!

Angalia kipindi waziri wa ulinzi, madudu matupu akaenda kwao urambo kutembelea ndugu na jamaa na helcopter ya jeshi alipoulizwa kw amamlaka gani anatumia zana za jeshi kwa matumizi binafsi akajibu mnataka nipande punda, akawa waziri wa kazi kama sasa ndio ivyo tena kila siku ma biff na vyama vya wafanyakazi.

Alikuwa waziri wa elimu mitihani ikavuja badala ya kuchukua collective responsibility kujiuzulu akadai kwan ye ndo mlinzi wa iyo mitihani, hizi ni kwa ufupi tu kauli za kebehi na dhihaka alizowai toa! hafai, hana positive hata moja, hata uprofesa wake sijui aliupatia wapi yarabi!
 
Ni kweli Prof. Kapuya anaboronga kwenye posts alizopewa. Na siyo yeye tu anayeboronga aliyempa Madaraka hayo (JK) na Chama Chake (SiSieM)wote wanaboronga, lakini kwa ubunge wananchi wa Jimbo lake la Urambo Magharibi na hata wale wa Urambo Mashariki wanamfagilia sana. Actually wanasema amesaidia sana majimbo yote mawili kuliko Mzee Six. Niliwahi kuongea na watu wa kule last year, wakawa wanasema wana mpango wa kutomuwekea mpinzani si kutoka Chama Tawala au upinzani. Ila kwa Six mambo yamepamba moto, upinzani si wa kawaida.

Hivyo usishangae kusikia kuwa Kapuya "apita bila Kupingwa"
 
Mugo"The Great";1005824 said:
Ni kweli Prof. Kapuya anaboronga kwenye posts alizopewa. Na siyo yeye tu anayeboronga aliyempa Madaraka hayo (JK) na Chama Chake (SiSieM)wote wanaboronga, lakini kwa ubunge wananchi wa Jimbo lake la Urambo Magharibi na hata wale wa Urambo Mashariki wanamfagilia sana. Actually wanasema amesaidia sana majimbo yote mawili kuliko Mzee Six. Niliwahi kuongea na watu wa kule last year, wakawa wanasema wana mpango wa kutomuwekea mpinzani si kutoka Chama Tawala au upinzani. Ila kwa Six mambo yamepamba moto, upinzani si wa kawaida.

Hivyo usishangae kusikia kuwa Kapuya "apita bila Kupingwa"

...nji hii bana!! jamaa wengine hata ukiwapa kipande cha mhogo kwa kiporo cha mchicha kura wanakupa na unapeta tu. Yamesemwa mengi sana through advocacy na means zingine. Leo hii almost 50 years too late, mambo bado sana. Angalia tuu vilio vyote unavyoweza kuoredhesha. Madudu kibao. Sababu za msingi kabisa zipo za kutaka kubadilisha UONGOZI. Lakini wapi bana. The song goes on. Kazi kweli kweli!!
 
Kwani unategemea nini CCM? ukiwa mbovu zaidi ndio unashinda....nani kakuambia CCM wanataka mtu smart...uanze kuleta za kuletwa hapa watu wasile nchi?
 
Huyu anazo hela nyingi sana za kifisadi (vinginevyo angepataje?) anazozitumia katika jimbo lake kujipatia ushindi. Unakumbuka kashfa ya ufisadi ya Manji na magodown aliyowauzia NSSF kwa biloni 45? Manji aliyanunua kwa bilioni tisa tu na kuyakarabati kwa bilioni 7, jumla bilioni 16 tu. Kapuya ndiyo alikuwa Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Jamii wakati ule (kama ilivyo sasa) na dili hili yeye ndiyo alili-okay. Kwa hivyo kuna uvutaji wa mzigo pale uliofanyika. Hela nyingi sana. Halafu mkuu wa kaya anasema hajui kwa nini sisi Watz ni masikini!!!!
 
Mugo"The Great";1005824 said:
Ni kweli Prof. Kapuya anaboronga kwenye posts alizopewa. Na siyo yeye tu anayeboronga aliyempa Madaraka hayo (JK) na Chama Chake (SiSieM)wote wanaboronga, lakini kwa ubunge wananchi wa Jimbo lake la Urambo Magharibi na hata wale wa Urambo Mashariki wanamfagilia sana. Actually wanasema amesaidia sana majimbo yote mawili kuliko Mzee Six. Niliwahi kuongea na watu wa kule last year, wakawa wanasema wana mpango wa kutomuwekea mpinzani si kutoka Chama Tawala au upinzani. Ila kwa Six mambo yamepamba moto, upinzani si wa kawaida.

Hivyo usishangae kusikia kuwa Kapuya "apita bila Kupingwa"

hapo kwenye red si kweli. Period! nenda Kaliua ukaulize
 
Limbe,

Thanks for the update. Mambo ya siasa hubadilika, kama watu watakuwa wameamka na kumkataa Prof. basi ni HERI kubwa.

Lakini amini usiamini si kwamba namfagilia Kapuya. 2009 nilipita Urambo na Kaliua katika pilika pilika za maisha na maneno niliyoyapata kutoka kwa watu waliokuwa mstari wa mbele kwenye kampeni za 2005 - Kambi ya Upinzani yalinichosha kabisa na kunifanya niamini kuwa bado tuna safari ndefu ya kuliondoa DUDU SIsiemu. Niliwakuta wakimfagilia Kapuya Oh! mara kapeleka vijana jeshini, mara kajenga High School n.k. n.k the list goes on.

Hivyo suala ni kuwa Wadanganyika wanadanyika na kitu kidogo sana, hawaoni the Big Picture.
 
Back
Top Bottom