Inakuwaje hii?

Inakuwaje hii?

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Iv inakuwaje mtu anaandika barua za maombi ya kazi zaid ya 50 lkn haitwi hata interview 1, watu huwa wanakosea wapi? Ma HR naomba mnisaidie kujua hili suala. Nawasilisha
 
Zifuatazo zinaweza zikawa sababu;
1. Gpa ndogo,ufaulu mdogo kwenye vyeti vyako vingine kama vya olevel-a level
2. Uandish mbovu wa barua na cv, vitu kama grammar errors,cv unakuta haipo updated n.k,ni vitu vidogo sana lakini inaonyesha jinsi gani usivyo smart
3. Kutokufuata maelekezo ya jinsi ya kuaply,kwa mfano unakuta umeambiwa tuma cv tu,mtu anatuma hadi vyeti, sa nyingine unakuta ujaandika nafasi ya kazi unayoomba(kama unaaply utumishi),kazi ukiyoomba ujakidhi vigezo n.k
4.Roho ya kukataliwa,hii iko kiimani zaidi ila unaweza kuwa na mchango mkubwa kuliko hizo hapo juu nlizozitaja,jaribu kutafuta watumishi wa Mungu kabla hujaaply(NB kama unamtegemea Mungu lazima uwe tayari kumtii/ kuacha dhambi)
 
Zifuatazo zinaweza zikawa sababu;
1. Gpa ndogo,ufaulu mdogo kwenye vyeti vyako vingine kama vya olevel-a level
2. Uandish mbovu wa barua na cv, vitu kama grammar errors,cv unakuta haipo updated n.k,ni vitu vidogo sana lakini inaonyesha jinsi gani usivyo smart
3. Kutokufuata maelekezo ya jinsi ya kuaply,kwa mfano unakuta umeambiwa tuma cv tu,mtu anatuma hadi vyeti, sa nyingine unakuta ujaandika nafasi ya kazi unayoomba(kama unaaply utumishi),kazi ukiyoomba ujakidhi vigezo n.k
4.Roho ya kukataliwa,hii iko kiimani zaidi ila unaweza kuwa na mchango mkubwa kuliko hizo hapo juu nlizozitaja,jaribu kutafuta watumishi wa Mungu kabla hujaaply(NB kama unamtegemea Mungu lazima uwe tayari kumtii/ kuacha dhambi)

Asante mkuu, vp kuhusu GPA ni kuanzia ngapi inaweza ikawa poa kufikiriwa na waajiri.
 
Naendeleza alipoishia keynessian kama vipi:
5.Kuapply nje ya deadline.
6.kutokua na vyeti: especially utumishi. hawa jamaa bila original certificates utasubiri sana.
7.(kwa nafasi za kazi zisizo tangazwa bali una apply tu as kurusha jiwe gizani) njia unayotumia ni sahihi?. njia kuu ni tatu. posta electronic (email au fax) na hand delivery. unaweza kuta email unayotumia no longer in use au posta wamebadiri anuani au una muaddress mtu asie muhusika.
 
Last edited by a moderator:
Usiogope kuhusu gpa yako mdau. Mara nyingi recruitors wengi hawana haja na ufaulu wako ila ujuzi ulionao. Update tena cv yako. Weka na uzoefu hata kama si kweli halafu sikilizia.
 
Issue ni kuzidiwa qualifications and experience ila zamu yako itafika tu.
 
Usiogope kuhusu gpa yako mdau. Mara nyingi recruitors wengi hawana haja na ufaulu wako ila ujuzi ulionao. Update tena cv yako. Weka na uzoefu hata kama si kweli halafu sikilizia.

Good point! Ila usisahau kuutetea vizur uongo huo. Umenikumbush wakat nipo chuo kuna lecturer mmoja alisema uongo kweny CV unaandikwa na mtu anautetea vizuri sana. Sasa mtu kamaliza chuo na amesota kitaa miak wakadha na kila kazi wanatak uzoefu wa mwak 1 au kuendelea kwanin usidandanye. You are right!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom