Prof huyu, hivi sasa anazungumza katika Kongamano Kuhusu Rasilimali za Tanzania "Live" kupitia ITV lakini naona kama anatetemeka sana kuzungumza, ndivyo anavyozungumza au amepatwa na microphone fever? Wenzetu wa UDSM mnaomfahamu prof huyu, tafadhali tujulisheni maana imekuwa ngumu hata kufuatilia anachosema!