🤠🤠 Watu wanaangalia movie kwenye mabadanda usiku saa sita au saba, wanawake muzi za wakubwaaa..anodi uji uji
kitambo sana Veta iyo
NOma Sana🤠🤠 Watu wanaangalia movie kwenye mabadanda usiku saa sita au saba, wanawake muzi za wakubwaaa..
🤠🤠 Picha za kikubwa zamani zilikuwa kama mngaalia mpira, maana unakuta banda lina watu hata mia mbili mmekaa kimyaa mmetoa tu macho kwenye video, sio watoto, sio wababa, sio wadada au wamama wote mmewekwa katikati, mnatoka kuangalia movie alfajiri mnatazamama tu suraNOma Sana
hahahahahamnatoka kuangalia movie alfajiri mnatazamama tu sura
Acha tu, na mchana unajua kabisa mzee flani au sister flano tulikuwa nae 😀😀😀 zamani ilikuwa mambo mengi yana vituko vyake..hahahahaha
wapi uko , Mwananyamala au ?Acha tu, na mchana unajua kabisa mzee flani au sister flano tulikuwa nae 😀😀😀 zamani ilikuwa mambo mengi yana vituko vyake..
Miaka hiyo mitaa ya mirambo - mwanzo road ( mirambo boys)wapi uko , Mwananyamala au ?
Kwenye 1&2 umkute Lufufu sasaDah, maisha yanaenda kasi sana kama radi!
Natamani kurudi lakini haiwezekani! Wewe Muhenga mwenzangu unakumbuka wapi?????
View attachment 2360423