Inakuhusu bwana arusi mtarajiwa

Inakuhusu bwana arusi mtarajiwa

afunge ndoa tu huu ndo upuuzi ambao huwa naupinga kunipiga mimba alafu ndo ndoa sitaki

Sasa kama wazazi ndio hao hawataki tuoane na still una mimba unafikiri itakuaje?lengo lake sio baya ila wazazi wanasababisha yote.
 
Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Uyo mkeo mtarajiwa anasoma chuo mwaka Wa mwisho anadaiwa ada asilimia Fulani kama laki 5 tu. Wewe unafanya kazi nzuri tu na una mwaka Wa 6 kazini! Unaombwa na Mke mtarajiwa umlipie iyo balance eti mwambie babako au kakako akulipie. Je hii ni sawa? Najua wengi mnaogopa kusomesha wanawake hamjawaoa ila kwa huyu kuna ubaya gani? After all hujawahi mlipia hata ada ya nursery ni hii tuu! Au bwa shemeji una roho mbaya? Tunawasiwasi utamwambia nguo ya harusi anunuliwe na kaka zake! Bahati yako ushapangiwa mahari ungekuwa bado ungejuuuta kutufahamu.

HAFAI rudisheni MAHALI njaa yenu itamtesa dada yenu maisha yake yote. Si kwa sababu ya kushindwa kulipa ada, kauli yake!
 
Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Uyo mkeo mtarajiwa anasoma chuo mwaka Wa mwisho anadaiwa ada asilimia Fulani kama laki 5 tu. Wewe unafanya kazi nzuri tu na una mwaka Wa 6 kazini! Unaombwa na Mke mtarajiwa umlipie iyo balance eti mwambie babako au kakako akulipie. Je hii ni sawa? Najua wengi mnaogopa kusomesha wanawake hamjawaoa ila kwa huyu kuna ubaya gani? After all hujawahi mlipia hata ada ya nursery ni hii tuu! Au bwa shemeji una roho mbaya? Tunawasiwasi utamwambia nguo ya harusi anunuliwe na kaka zake! Bahati yako ushapangiwa mahari ungekuwa bado ungejuuuta kutufahamu.


hahaha hivi huoni kuwa huyo mwanamke mwenyewe kashaji dharaulisha mwenyewe kwa kushika mimba kabla ya kuolewa?
women ebu na nyie tumieni akili bwana haya mambo ya kubeba mimba kwabla ya ndoa sio kabisa
 
Sasa kama wazazi ndio hao hawataki tuoane na still una mimba unafikiri itakuaje?lengo lake sio baya ila wazazi wanasababisha yote.
duh wazai wataondoka duniani na nitabaki na kinega changu maisha yangu yote loh siwezi
 
HAFAI rudisheni MAHALI njaa yenu itamtesa dada yenu maisha yake yote. Si kwa sababu ya kushindwa kulipa ada, kauli yake!

mwe! tatizo mwanamke mwenyewe kiazi...kashabeba mimba ndio maana jamaa ana weza sema lolote sii anajua either way he is in control
 
[QUO TE=WALIMWEUSI;8348872]Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Uyo mkeo mtarajiwa anasoma chuo mwaka Wa mwisho anadaiwa ada asilimia Fulani kama laki 5 tu. Wewe unafanya kazi nzuri tu na una mwaka Wa 6 kazini! Unaombwa na Mke mtarajiwa umlipie iyo balance eti mwambie babako au kakako akulipie. Je hii ni sawa? Najua wengi mnaogopa kusomesha wanawake hamjawaoa ila kwa huyu kuna ubaya gani? After all hujawahi mlipia hata ada ya nursery ni hii tuu! Au bwa shemeji una roho mbaya? Tunawasiwasi utamwambia nguo ya harusi anunuliwe na kaka zake! Bahati yako ushapangiwa mahari ungekuwa bado ungejuuuta kutufahamu.[/QUOTE]

Hats ningekuwa Mimi nisingelipa hiyo ada.mahali kitu gani kwani mi mshikaji wangu alishawahi kurudishiwa mahali.
 
Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Uyo mkeo mtarajiwa anasoma chuo mwaka Wa mwisho anadaiwa ada asilimia Fulani kama laki 5 tu. Wewe unafanya kazi nzuri tu na una mwaka Wa 6 kazini! Unaombwa na Mke mtarajiwa umlipie iyo balance eti mwambie babako au kakako akulipie. Je hii ni sawa? Najua wengi mnaogopa kusomesha wanawake hamjawaoa ila kwa huyu kuna ubaya gani? After all hujawahi mlipia hata ada ya nursery ni hii tuu! Au bwa shemeji una roho mbaya? Tunawasiwasi utamwambia nguo ya harusi anunuliwe na kaka zake! Bahati yako ushapangiwa mahari ungekuwa bado ungejuuuta kutufahamu.

Kabla sijachangia, eti Mahari kazi yake ni nini?
 
Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Mkuu hebu twende taratibu kwanza maana ninyi wanawake huwa mnanishangaza sana maana uchungu wa chachu mwaufahamu lakini lawama mwapeleka kwa mchachuzi.

Unapoandika kuwa mwanaume katia mimba una maana gani haswa?

1. Je hiyo mimba iliingia kwa nguvu za miujiza?

2. Au hiyo mimba iliingia kwa sababu kuna mwanamke fulani ambaye kwa akili zake timamu aliamua kuvua blauzi, ikafuata sketi kama sio suruali, halafu skini taiti na hatimaye chupi...baada ya hapo akalainishwa kwa kutomaswa tomaswa naye akalainika na kupanua mapaja ili mkwaju upite.

Mwanamke huyo huyo anajijua fika kuwa yupo chuoni na anapaswa kumalizia elimu yake maana yu mwaka wa mwisho na kwa kuwa ni msomi akilini mwake anajua fika kuwa 'Elimu ni Ufunguo wa Maisha' na wala hakuna dhana kwamba 'Mwanaume au mimba ni Ufunguo wa Maisha'.

Je ninyi wanawake hamfunzwi na wazazi wenu ni wakati gani muafaka wa kupata ujauzito?

Nani kakuambiwa kuwa ukishatolewa mahari tu basi una uhalali wa kubeba ujauzito?

Mimi naona wewe mleta mada unataka kupotosha wanawake wenzako tu hapa, na kilichokuongoza kuleta mada hii ni dukuduku la hasira ambazo zao lake ni uzembe.

Anza kwa kukemea wanawake wenzako wanaodhani kuwa mimba ni moja ya tiketi za kuhalalisha ndoa.

Waambie wabane mapaja yao wafiche nyuchi zao hadi wakati stahiki utapowadia.
 
Back
Top Bottom