Inakuhusu bwana arusi mtarajiwa

Inakuhusu bwana arusi mtarajiwa

Vituka

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
2,268
Reaction score
1,267
Unataka kuoa mahari umetoa na usivyo na adabu mimba ushaiingiza!

Uyo mkeo mtarajiwa anasoma chuo mwaka Wa mwisho anadaiwa ada asilimia Fulani kama laki 5 tu. Wewe unafanya kazi nzuri tu na una mwaka Wa 6 kazini! Unaombwa na Mke mtarajiwa umlipie iyo balance eti mwambie babako au kakako akulipie. Je hii ni sawa? Najua wengi mnaogopa kusomesha wanawake hamjawaoa ila kwa huyu kuna ubaya gani? After all hujawahi mlipia hata ada ya nursery ni hii tuu! Au bwa shemeji una roho mbaya? Tunawasiwasi utamwambia nguo ya harusi anunuliwe na kaka zake! Bahati yako ushapangiwa mahari ungekuwa bado ungejuuuta kutufahamu.
 
mwanamke ukiona mwanaume anyekujibu hivyo washa taa nyekundu kichwani mwako,hakuna mapenzi hapo mwanume anayempenda mwenzi wake kikweli ataona fahari kumhudumia wala hatamsimanga na kumjibu majibu ya hovyo hiyvo.
 
Alafu bado anategemea bado kufunga nae ndoa loh mwambie akimbie mapema aisee si sawa
 
Alafu bado anategemea bado kufunga nae ndoa loh mwambie akimbie mapema aisee si sawa

Neno langu sidhani kama litasaidia mana huwezi jua mkewe mtarajiwa kapenda nini! Nina imani ujumbe ataupata mana najua ni member humu JF.
 
mwanamke ukiona mwanaume anyekujibu hivyo washa taa nyekundu kichwani mwako,hakuna mapenzi hapo mwanume anayempenda mwenzi wake kikweli ataona fahari kumhudumia wala hatamsimanga na kumjibu majibu ya hovyo hiyvo.

Hii ni dalili ya roho mbaya iliyo damuni!Nakuchukia bwa shemejiii!!!!!
 
mwanamke ukiona mwanaume anyekujibu hivyo washa taa nyekundu kichwani mwako,hakuna mapenzi hapo mwanume anayempenda mwenzi wake kikweli ataona fahari kumhudumia wala hatamsimanga na kumjibu majibu ya hovyo hiyvo.

Haswaaaaa.....
 
mrudishie mimba yake usepe, hata akikuoa atashindwa kukuhudumia.
 
He he he he he, mwana harusi kafuata kipochi manyoa tu.
Kuwajibika ni kipaji, si kila mwanamme anacho kama mshedede.
 
maskini jamaa kakataa kumlipia dada yako ada?? wanaume hawa ipo siku watasema tujilipie wenyewe mahari.
 
Nyinyi vp? kwahiyo mnasubiria ajitomeze bwana tu kutaka kumwoa binti yenu mukimbie majukumu yenu sio? kwani nyinyi mnajua mipango yake ya maisha yake ama kipato chake mpaka muanze kumsusia majukumu? hembu malizieni hayo majukumu yenu kwa mwanenu jamaa asije kumdharau kwamba kwenu walishindwa kukusomesha nimekusomesha mie. Familia zetu za kiafrika tunazijua, utakuta janaa tayari alishakuwa na majukumu kibao na tena anajiandaa na ndoa na maisha ya ndoa tayari mnamuongezea rungu lengine la ada?! hembu kuweni na imani. kunajaavyangu alifanyiwa hivyo akabeba mzigo wote wa ada, chakula na kila kitu kisa kapeleka mahali. sasa hivi namwonea huruma jamaa, pesa hakuna, wife kashajijengea imani mme anapesa basi shida tupu! jamaa anajfungia ndani all the time after work anazuga na movie. alikopa kukabili yale majukumu na sasa ndio analipa deni maisha magumuuuuuuuuuuu kama reli.
 
Hii familia inaonyesha inavirungu vyapesa balaaaa!mtazamo tu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Au mnagawana hizo pesa?? Ukute wakoanza kumlipia hawajui mmeomba ada... its a shame kwa kweli" what if akisema hamtaki tena ataacha shule? Mwanzo alisomeshwa na nani?? Kwan hawakua na uhusiano mwanzoni asimuombe hy ada??
 
Huyo jamaa jasiri sana, nampongeza kwa uamuzi wa kijasiri na kuthubutu.
Kama wanauchungu na elimu ya mtoto wao si wangetumia sehemu ya mahali?
 
Back
Top Bottom