Inakuaje mtumishi wa umma unafulia na kukosa hata mia wakati unalipwa mshahara?

hata ulipwe millioni 10 kwq mwezi bado haitishi kwa mwezi pesa haitishelezi unashaangaa mfanyakazi wa serikalini analia hivyo ujaona wafanya biashara wakubwa wanalalamika uchuni unayumba
 
That is not in dispute! The Welfare of Public Servants Sir!

Welfare goes hand an hand with state of economy, Scandinavian countries can only afford to give handouts if their economy continue to perform well. Haven said that, all those countries they still have trace of poverty in them in tune of 5-10%. And talking about welfare, people are talking Magufuli down while his busy trying to craft welfare system in Tanzania.
 
Hiyo laki tano unayoizungumzia ni Basic Salary au Take home? Kama mimi binafsi basic salary yangu ni zaidi ya laki saba lakini nachukua take home chi ya laki tano
 
Ebu Angalia hii budget...

Chakula. cha mchana ...4000
Maji yakunywa 1000
Juice .....1000

chakura cha usiku kiko 4000
Balimi 2 Tsh 5000



Hapo ujaweka Usafiri ...pia vocha.... hapo pia ujaumwa ukanunua vidonge. ..hapo mama kijijini ujamtumia chochote ...Tena hayo nimaisha yamtu aliye single ukisema uoe ujue lazima uukimbie mji..yaani iyo laki tano aiwez kutosha.
Tufanye ya kununua dawa ipo kwenye Bima ya afya
 
Ukiwa mkubwa utajua kuwa watu wakubwa hawanaga hela siku zote.
Unavyozidi kupata pesa ndivyo majukumu yanaongezeka. Hii ni kwa wote waajiriwa na tuliojiajiri.
 
kuongeza kipato na kupunguza matumizi vyote ni muhimu utaongezaje kipato cha pili bila kujibana
Usipotoshe watu mkuu swala kujibana ni la muhimu sana kuna kipindi unahitajika kujibana ni muhimu kuwa na malengo hauwezi ukatengeneza source ya pili ya kipato bila kujibana vinginevyo utaishia kulalama kila siku mshahara hautoshi huku unatumbua
Swala ni mnyama. Uwe makini unapoandika sbb neno moja linaweza kuleta tafsiri nyingine. Suala ndiyo neno sahihi.
Kila mtu ana malengo kwahiyo unapokuja kwenye mshahara uwe unafikiri huyu mtu anapokea mshahara wa kiasi gani? Ukumbuke hata km unapokea mshahara wa laki 3 lkn hautoshi hata ungekuwa unaishi mwenyew lbd km unaishi kwenye nyumba ya nyasi na una kitanda cha miti.
Ukumbuke kila siku vitu vinapanda bei na mshahara upo pale pale unategemea utatosha hata ukijabana?
 
Ukiwa mkubwa utajua kuwa watu wakubwa hawanaga hela siku zote.
Unavyozidi kupata pesa ndivyo majukumu yanaongezeka.
Halafu mtu anakuambia ujibane. Utajibana mpaka lini wakati maisha yenyewe mafupi?
Lbd aseme kuwa na matumizi mazuri ya fedha. Unaweza kujibana bana ukafikisha hata laki 3, unapigiwa simu mdogo wako mgonjwa au mke wako mgonjwa unafanya ni nini?
 
hata ulipwe millioni 10 kwq mwezi bado haitishi kwa mwezi pesa haitishelezi unashaangaa mfanyakazi wa serikalini analia hivyo ujaona wafanya biashara wakubwa wanalalamika uchuni unayumba
Ndiyo ujuulize kwann Bill Gate hajaacha kutafuta fedha licha ya kuwa tajiri namba mmoja duniani?
Siku zote pesa huwa haitoshi hata km uwe unaingiza trilion moja kwa siku. Kadri unavyoingiza ndivyo matumizi yanavyoongezz
 
Huwa najiuliza sana, mtu analipwa si chini ya laki 5, hana majukumu yoyote zaidi ya kula na kuvaa lakini kabla mwezi haujaisha anakua kafulia choka mbaya, account bank iko nyeupe pee!

Nina ndugu zangu wa karibu huwa wananishangaza sana, daily kufulia na kuanza kunipiga vizinga, mimi mpiga dili tu wa mtaani nisiyejua harufu na utamu wa mshahara.

Wanawake ndo wanaongoza kufulia hasa wale watoto wa mjini.

Tatizo nini jamani?
Kama ni ndugu zako ni rahisi kujua watu wanaowazunguka na watu wanaowategemea. Nakuhakikishia ni rahisi kwa mama aliye ndugu huko kijijin kuomba msaada kutoka kwa mfanyakazi kuliko kuomba msaada kutoka kwa nyie mnaojiita wafanyabiashara.
Maana mnaonyesha dharau za kiwango cha juu na interm of sustainability wakati wa magumu civil servants wako vyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom