mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,984
Bahati mbaya nina watu wengi ninaowajua waliojibana kwa hali na mali na sasa wako mbali sana tu, possibly let's agree to disagree labda shida ni terms tunazotumia ndio zenye shida:Kuna tofauti kubwa sana kati ya kujibana na kuwa na matumizi mazuri ya fedha. Watu wengi hawajui watumie maneno yapi ili waeleke.
Ndiyo maana ukimuuliza mtu nini tofauti kati ya msichana na mwanamke au kati ya women's day na Mothers' day watakuambia ni kitu kimoja.
Kujibana vs Matumizi mazuri ya Fedha.