Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Kuhusu umakini ni kweli. Kuhusu kukuua nayo ina kaukweli. Lakini uwezo wa mwenyezi Mungu hapo kasingiziwa. Maana asipokuoona ndio ushakuwa mganga mkuuMkuu story yako pia nilishawahi ambiwa na watu wa makabila mawili tofauti nilipotembelea vijiji vyao. Ila mie nilichowahi ambiwa ni kwamba, ikitokea ukaujua huo mti au jani ambalo nyoko huyo kachuma unakuwa umebahatika kujua dawa asili ya kutibu sumu ya nyoka aina yeyote yule.
Note: Nyoka huwa anachuma hilo jani kwa umakini mkubwa sana ili asionwe na binadamu yeyote yule. Ila swala la kuhusiswa na M/Mungu au ukimwona lazima akuue hii sijui na sijawahi sikia.
Hivyo basi sikuwa interested sana na story ile. Bt wew sasa unakuwa mtu wa 3