Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,737
Hakuna kitu kinachonifanya nikasirike kama mpira wetu huu wa bongo swala la ligi. Timu ni mbili tu simba na yanga na kila mchezaji wa ndani anatamani kufikia hapo. Wachezaji wakishatoka au mkataba kuisha kwenye timu hizo ndio habari yao imekwishia hapo. Timu mbili tanzania ndio zinafanya mpaka muda wa bunge baada kuzungumzia uchumi wanaanza na timu.
Inamana hatuwezi kuwa sawa yani ukikutana na Chato Fc,Faiza foxy fc,Mashujaa na timu zengine ziwe shuhuli kwao. Zikicheza timu mbili hizi tofauti ya kucheza timu nyengine yani mvuto ni timu mbili.
Kama Uingereza, Ulaya na kwengineko wangekuwa wameendekeza kama haya sizani kama tungekuwa tunafahamu vilabu vyao vyote.
Inamana hatuwezi kuwa sawa yani ukikutana na Chato Fc,Faiza foxy fc,Mashujaa na timu zengine ziwe shuhuli kwao. Zikicheza timu mbili hizi tofauti ya kucheza timu nyengine yani mvuto ni timu mbili.
Kama Uingereza, Ulaya na kwengineko wangekuwa wameendekeza kama haya sizani kama tungekuwa tunafahamu vilabu vyao vyote.