STUNTER mwana hapa mpaka mbavu zinaniuma thats the fact mi imeshawahi kunikuta hiyo unafikiri nilirudi tena?Kwa Wanawake na Wanaume, wote msikie,Kuna
baadhi yenu mnatamani kuwa na Relationship
nzuri, lakini tatizo hata Kissing tu ni shida...Mtafeli!
Unakiss na mtu ana vurugu utadhani anapalilia
migomba, haieleweki anafanya nini, hadi ukitoka
hapo unapitia dukani kununua SALIMIA ukajichue Lips zote za moto, hoi, nyang'anyang'a. Jamani
naongopa??
Hamna watu wa aina hii??
Even Kissing is a problem, ukipewa kulima lami si
ndo utaleta maafa?? Kwani kujifunza kissing nayo
imekuwa ngumu kama Mzaramo kuongea
Spanish? Wengine mnakosa na mmekosa Wachumba hivihivi kwa kudharau hili,
Day 1 tu
umepewa kideti unakiss unaruka ruka kama
mabehewa ya Tazara, mdada wa watu anaona
mmmh hiki kimbembe, siku ya kukupa jibu
anakwambia,''Sorry, I think I am rushing into this
relationship, I need time to be alone'' Kumbe umeharibu mwenyewe kaogopa tu kusema
Hujui kubusu maana akikwambia utampiga makofi na wengine
mtaanza kutukana bure lakini habari ndo
hiyo, Utapigaje Busu kama unapigana vita vya
MAUMAU???-
Sidhani, manake hata kiss ni moja ya mapenzi, sasa kama kiss anavurunda inamaana ameshaharibu step ya kwanza,Hahahah mbona vita vya MAUMAU.Ila darasa ni la wote pia unaweza kuta hata wanaume wanakutana na wadada wanakiss kama ni mavampire yanataka kunyonya damu.By the way kama umempenda mtu ni swala dogo tu lakufundishana maana no one is perfect in everything.Anaweza akawa mtu hajui kukiss ila kunako 6*6 ni shughuli ambayo hata akiletwa kamanda Sirro hawezi kuikamata
Wanyama pekeyao ndio hufanya tendo la ngono kwaajili ya kuzaana, ndomana wengi hawapandani hadi wawe na joto,Sisi tunataka WATOTO
Mungu alitutuma kuzalisha tu na kuijaza dunia yake.
Kama hiyo kukiss inatia mwanamke Mimba sawa.
Ha ahaaaa... Umeongea ukweli! Kuna wadada hawajui kukiss kabisa... Kuna mmoja nilikuwa naye enzi hizo, mweh!!! Anavuta ulimi kama autoe vile nikaona isiwe taabu nikawa namkwepa kissHahahah mbona vita vya MAUMAU.Ila darasa ni la wote pia unaweza kuta hata wanaume wanakutana na wadada wanakiss kama ni mavampire yanataka kunyonya damu.By the way kama umempenda mtu ni swala dogo tu lakufundishana maana no one is perfect in everything.Anaweza akawa mtu hajui kukiss ila kunako 6*6 ni shughuli ambayo hata akiletwa kamanda Sirro hawezi kuikamata
Hapo sheria ya kwanza lazima macho mfumbe...Hakuna kiss nzuri.kama upo juu ya kifua cha demu huku mambo yanaendelea.uwa najihisi nipo peponi.haya asubuhi njema.
Anakisi kama ananyonya ubuyu bnaa anatumia nguvu utafikiri yupo kwenye mashindano looo achaa tuuu siku tatu mdomo wangu sikua naweza kula na kuongea vzr...that man was crazy[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuwa na mdomo kama punda?
Au ilikuwaje mkuu?
Mbona mnatetea ujinga?Ukiona anajua k7kiss jua ni extra used. Bora asijue na mshauriane namna ya kufurahia mapenzi.
Na sio kila mtu atavutiwa na kiss kwa wengine kiss haina kionjo cha mapenzi hata ukifanya kwa kiwango cha Phd.
Narudia tena kama kiss inatia mtu mimba hapo sa3a
Labda alikuwa ana practise rough / hard sex...Anakisi kama ananyonya ubuyu bnaa anatumia nguvu utafikiri yupo kwenye mashindano looo achaa tuuu siku tatu mdomo wangu sikua naweza kula na kuongea vzr...that man was crazy[emoji23] [emoji23] [emoji23]