Wakati wanaendelea kutoleana vitendawili, mwalimu ilimbidi atake kumzuiya mwanafunzi kabla ya kutenda utovu wa nidhamu lkn mwanafunzi ilimbidi atowe jibu kabla ya kuzuka tafrani.
Ilikuwa kama hivi:
Mwnfnz: Kitendawili
WANAFUNZI: Tegaa
Mwnfnz: Nivue nguo niwape Utamu
MWALIMU: Mshenzi wewe acha kutukana
Mwnfnz: Mwalimu hata we hujui, Jibu lake ni NDIZI !