HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Adhabu aliyopewa Meneja wa Simba kuhusiana na wachezaji wa Simba kuchelewa kuripoti Taifa Stars ni uonevu na ni kubwa sana. Kufungiwa mwaka mwaka mmoja pamoja na kulipa faini ya sh milioni 4 ni hasira tu za TFF. BREAKING: MENEJA SIMBA APIGWA RUNGU LA MWAKA MMOJA NA TFF KUJIHUSISHA NA SOKA, FAINI JUU - SALEH JEMBE