kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
ukinisaidia vyote Apologise lady nitashukuru....Sasa kabanga hujaelewa uzi au hujanielewa mimi????????
Last edited by a moderator:
ukinisaidia vyote Apologise lady nitashukuru....Sasa kabanga hujaelewa uzi au hujanielewa mimi????????
ukinisaidia vyote Apologise lady nitashukuru....
sijui Apologise lady labda unijaribu.....Aaanha!! Amesema eti, mfano wewe ukinitaka mimi utamaliza soli ya kiatu na wallet itakuwa empty na mwisho wa siku hutonipata, ila.......................ila.................. mimi nikikutaka wewe, yaani ndani ya dakika nikiita tu kabanga wewe utaitika "yes malkia sema utakacho hata mshahara wangu wote nitakupa" ndio hivyo basi kasema.
Mimi nikaguna, maana sikuamini, labda nikuulize Eti ndivyo ilivyo??????????????
sijui Apologise lady labda unijaribu.....
sawa, Apologise lady, nakusubiri kwa hamu nione makeke yako....Aisee!!!!!! ngoja nifanye mazoezi yakukujaribu ili sio tu mshahara hata acc zako niwe namiliki mimi. hili inabidi nilifanyie utafiti kwa kabanga aisee.
sawa, Apologise lady, nakusubiri kwa hamu nione makeke yako....