Imeshawahi kukutokea ????

Imeshawahi kukutokea ????

jamaikatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
379
Reaction score
1,304
Imeshawahi kukutokea mtu unamuulizia kumbe ameshafariki miezi miwili iliyopita basi mimi
Nilitumiwa meseji na rafiki mchina, akiomba tuongee plan ya biashara, sikujibu akapiga sikupokea , nikajisemea nitaongea nae kesho, akatuma picha ya solar panel,
kesho nikapiga simu haikupokelewa, kila siku nikawa napiga haipokelewi, siku saba mfululizo,
nikatuma meseji, " kuna tatizo gani, au nimekuudhi kitu " mbons sio kawaida
Nikajibiwa
" Mimi ni mke wake, rafiki yako alipata ajali , siku aliyokupigia simu muongee, slipata ajali ya gari hapo akafariki hapo hapo, ndio tumemaliza mazishi"
nilistuka saana
Bado nawasiliana na mke wake ni miaka mitano sasa, hii ilinifundisha kuwa
"KESHO NI SIKU NYINGINE"

Vipi wewe imeshawahi kukutokea ???
 
Imeshawahi kukutokea mtu unamuulizia kumbe ameshafariki miezi miwili iliyopita basi mimi
Nilitumiwa meseji na rafiki mchina, akiomba tuongee plan ya biashara, sikujibu akapiga sikupokea , nikajisemea nitaongea nae kesho, akatuma picha ya solar panel,
kesho nikapiga simu haikupokelewa, kila siku nikawa napiga haipokelewi, siku saba mfululizo,
nikatuma meseji, " kuna tatizo gani, au nimekuudhi kitu " mbons sio kawaida
Nikajibiwa
" Mimi ni mke wake, rafiki yako alipata ajali , siku aliyokupigia simu muongee, slipata ajali ya gari hapo akafariki hapo hapo, ndio tumemaliza mazishi"
nilistuka saana
Bado nawasiliana na mke wake ni miaka mitano sasa, hii ilinifundisha kuwa
"KESHO NI SIKU NYINGINE"

Vipi wewe imeshawahi kukutokea ???
Sikuzote next second siyo yetu mkuu
 
Imeshawahi kukutokea mtu unamuulizia kumbe ameshafariki miezi miwili iliyopita basi mimi
Nilitumiwa meseji na rafiki mchina, akiomba tuongee plan ya biashara, sikujibu akapiga sikupokea , nikajisemea nitaongea nae kesho, akatuma picha ya solar panel,
kesho nikapiga simu haikupokelewa, kila siku nikawa napiga haipokelewi, siku saba mfululizo,
nikatuma meseji, " kuna tatizo gani, au nimekuudhi kitu " mbons sio kawaida
Nikajibiwa
" Mimi ni mke wake, rafiki yako alipata ajali , siku aliyokupigia simu muongee, slipata ajali ya gari hapo akafariki hapo hapo, ndio tumemaliza mazishi"
nilistuka saana
Bado nawasiliana na mke wake ni miaka mitano sasa, hii ilinifundisha kuwa
"KESHO NI SIKU NYINGINE"

Vipi wewe imeshawahi kukutokea ???
Umenikumbusha kifo cha mpendwa ibra tulipe kuepo nae dakika moja.

All in all,
Kesho ni ya MUNGU
 
Mimi situation Kama hiyo sijawahi kuipitia .

Kwahiyo ulikuwa uki-M please boss kuwa why upo kimya or what strong? Boss .
 
Tunasevu sana namba za marehemu kwenye phone book zetu!

Ukimkumbuka mtu, jaribu kumpigia simu,kumjulia hali, usije-jikuta una-sevu namba za wafu pasipo-kujua!
 
Kuna boda alikuwa mwamba sana,ananiletea pisi zangu nazoimport hata usiku mkubwa,chakula na mahitaj yote analeta kwa wakat..nikisafir namuachia ufunguo wa geto kama back up iwapo nitapoteza nilionao.akaja kuuawa na wakuda wakachukua boda yakebna sikuwah kupata taarifa,nikawa nampigia simpat zaid ya miez miwili nikadha kasafir au kapoteza simu ...kuja siku kuambiwa ukweli kuwa ni marehem aisee had leo siamini..daahh
 
Back
Top Bottom