T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,516
Best yako halafu hujui alipoNani anajua Sylivester Bahati alipo?
Best yangu huyu na ML Chris sijui wako wapi.
Best yako halafu hujui alipoNani anajua Sylivester Bahati alipo?
Best yangu huyu na ML Chris sijui wako wapi.
Una elimu gani?Best yako halafu hujui alipo
Elimu na maana ya neno Best vinahusianajeUna elimu gani?
Unaelewa nini ukiona neno "best "!?
Unaelewa nini kuhusu neno "best".Elimu na maana ya neno Best vinahusianaje
Usijifanye mjuaji dogo na vidigrii vyenu uchwara, shule yenyewe umeanzia MEMKWAUnaelewa nini kuhusu neno "best".
Kuelewa hakuhusiani na elimu kweli hapo!!??
Yaani hata neno "best" huelewi kweli!!!!
Hivi elimu ya Tanzania ni kweli ni ya hovyo kiasi hicho au ni Watanzania ndio wenye matatizo ya uelewa!?
Upumbavu ni kipaji,na ni mpumbavu tu anaweza kumuita mtu asiyemjua "dogo".Usijifanye mjuaji dogo na vidigrii vyenu uchwara, shule yenyewe umeanzia MEMKWA
Najua ni namna unataka kukwepa boko ulilotoa
Huo usela nikitaka tule sahani moja utaaibika tu
Una akili za kitoto ndio sababu ukaitwa dogoUpumbavu ni kipaji,na ni mpumbavu tu anaweza kumuita mtu asiyemjua "dogo".
Usininukuuu tena.
Kipindi hichi sintokaa niisaha Kissfm, ilikuwa moto sana.Kiss Colabo ni 3.30 hadi 7 mchana baada ya hapo anaingia Tobb the Splash na saa nane mchana anakuwa Joakim au Claudia Mayanka au Dj Criss kipindi kinaitwa Kiss Fm most Wanted baada ya hapo african beat 12 jion D7 na Dj maliz au Dj Dev wakimaliza saa 2 usiku kipindi kinaanza kinaitwa Kiss Prime time the big fuse Dj alikuwa Jeffy Jelly
TBC INTERNATIONAL IS DOING FAR BETTER THAN HAWA KISS FM RECENTLY
star mkubwa sana huyo US Ryan seacrest,america top 30 nafkiri walikuwa wanajiunga na redio express ya marekaniRyan Sycrest(sijui ndiyo jina sahihi)- Lugha ya beberu tamu sana.
Tbc international is so fuckn impressive.KARIBU TBC INTERNATIONAL MKUU HUKU FULL KUONGEA KIMALKIA,KUNA KINA RAHMA KIPOZA,CHERRY MATUZYA NK
Hao wote utopolo tu, kwa sasa mtambo mkubwa ni tbc internationalNao wanaongea kiswahili tu?
American Top 40 with Ryan Seacrest bado every weekend inapatikana ngoja ni uploadAmerican top 40 na Ryan Seacrest ilikua balaa, izo ngoma ziku hizi nazi download. Hakuna radio inayonisikitisha kama kiss fm
Mnaendeleaje hapo British Council? Au uliishia Halmashauri ya Kakonko?ilinisaidia secondary 2006
Ni kuchanganyikiwa kwa kuishuwa hiyo redio haina msimamuzi wa uhakikaNa declare interest nina muda kama miaka 6 sijawa msikilizaji ama mfuatiliaji wa Kiss Fm, by the time nilipokua nawafuatilia 2014 kurudi nyuma vipindi vingi viliendeshwa kwa lugha ya Kiingereza isipokua cha African beats. Back to mwezi huu wa tisa 2020 nilisearch mara paah Kiss hiyo hapo, ilikua majira ya saa12 asubuhi nikastaajabishwa na kipindi wanakiita Dimba dogo kilikua kinaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili, baada ya hapo nimekua nikifuatilia nakugundua vipindi kama sio vyote basi vingi vinaendeshwa kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Swali langu nini kiliwapata mpaka wakarudi kwa lugha ya taifa, ni watangazaji wabobevu kwenye lugha kuondoka? Vibali vya TCRA au?
Kipindi bora kwangu kutoka Kiss Fm kila Jumamosi, yaani ngoma kali mpya kutoka mbele tulikuwa tunazijua kupitia kwa Ryan SeacrestAmerican Top 40 with Ryan Seacrest bado every weekend inapatikana ngoja ni upload