Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,564
- 1,512
Na declare interest nina muda kama miaka 6 sijawa msikilizaji ama mfuatiliaji wa Kiss Fm, by the time nilipokua nawafuatilia 2014 kurudi nyuma vipindi vingi viliendeshwa kwa lugha ya Kiingereza isipokua cha African beats. Back to mwezi huu wa tisa 2020 nilisearch mara paah Kiss hiyo hapo, ilikua majira ya saa12 asubuhi nikastaajabishwa na kipindi wanakiita Dimba dogo kilikua kinaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili, baada ya hapo nimekua nikifuatilia nakugundua vipindi kama sio vyote basi vingi vinaendeshwa kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Swali langu nini kiliwapata mpaka wakarudi kwa lugha ya taifa, ni watangazaji wabobevu kwenye lugha kuondoka? Vibali vya TCRA au?
Swali langu nini kiliwapata mpaka wakarudi kwa lugha ya taifa, ni watangazaji wabobevu kwenye lugha kuondoka? Vibali vya TCRA au?