Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Kweli siku hizi hii JF!!!!!!! Yaani mpaka hili nalo tuna anzisha thread? Nami naanzisha hivi kwanini GF wangu sijamsikia akijamba? Hebu jamani wazoefu nielezeeni!! nateseka mwenzenu sijamsikia....:yawn:
kazi kweli kweli. mi nadhani hili swala angejadili nae angepata jibu zuri kuliko hii michango atakayoipata humu.