prumpeti
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 1,023
- 2,315
Habari za muda huu watu wa Tech!
Moja kwa moja kwenye mada natumia simu aina ya Note8 ya line mbili kwa muda wa miaka miwili sasa ila leo jioni nilibadilisha line two kutoa voda na kuweka Airtel ikawa inaandika emergency services nilipojaribu kuangalia imei nikakuta moja imefutika zimebaki 00000000000 ila line one IPO sawa hii imekaaje na nini ufumbuzi wa tatizo?
Moja kwa moja kwenye mada natumia simu aina ya Note8 ya line mbili kwa muda wa miaka miwili sasa ila leo jioni nilibadilisha line two kutoa voda na kuweka Airtel ikawa inaandika emergency services nilipojaribu kuangalia imei nikakuta moja imefutika zimebaki 00000000000 ila line one IPO sawa hii imekaaje na nini ufumbuzi wa tatizo?